Alisina
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 4,275
- 4,607
Walau kidogo wewe unaupa uhai uzi..!Ule uzi wenu umejaa mapicha picha tu na kuandika pumba tu hakuna facts kule
Pumba zitoke wapi..wakati watu wanapeana taarifa za maendeleo ya klabu yao pendwa.
Alafu uzi ukipoa sana unatia kinyaa mkuu, hili wewe hujaling'amua..?
