Hawa watu tayari washaingia mkenge!!
Morata ni nyoronyoro.
Morata "Just not fit enough"
sisi tumempenda huyo huyo nyoronyoro na ndddo maana tumetoa pesa nyingi kwake,
huyo kiroba lukaku bakini nae ninyi sisi hatumtaki.
Hawa watu tayari washaingia mkenge!!
Morata ni nyoronyoro.
Morata "Just not fit enough"
Msimu ujao..ninyi mnakwenda kuomboleza..sisi tumempenda huyo huyo nyoronyoro na ndddo maana tumetoa pesa nyingi kwake,
huyo kiroba lukaku bakini nae ninyi sisi hatumtaki.
Msimu ujao..ninyi mnakwenda kuomboleza..
Mkuu Sisi ngoja tubaki na mniga kaliwa na mamba!
Drink maji yupo njiani nasikia anakuja Pale darajani.
Pamoja na kwamba ataona umeandika kishabiki ila ni kweli hata Aston villa hawaiogopi man utd.mkuu team yako tokea aondoke babu sijawahi ihofia hata mumsajili donald trump,
team to fear is man city. naiamini team yangu na mwaka tunachukua kila aina ya kombe hata kama la mbuzi ili mradi chelsea ipo inabeba.
Mkuu..!mkuu team yako tokea aondoke babu sijawahi ihofia hata mumsajili donald trump,
team to fear is man city. naiamini team yangu na mwaka tunachukua kila aina ya kombe hata kama la mbuzi ili mradi chelsea ipo inabeba.
Pamoja na kwamba ataona umeandika kishabiki ila ni kweli hata Aston villa hawaiogopi man utd.
Msimu ujao ni man city na chelsea..one of those two! Wengine kina arsenal, liverpool na totenham wanagombea nafasi zifuatazo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu..!
Kwangu Babu ni moja ya watu waliochangia kuiyumbisha man United katika kipindi chake cha mwisho ..! Hakuandaa mazingira mazuri ya kuiacha timu.. sajili zake zilikuwa za zima Moto,
Ikafika kipindi Paul anarudishwa ilinisikitisha..akaja kutumaliza na moyes.
Ila ninyi msimu ujao nauona mlango mweupe kwa muitaliano huyu..kwanza mechi zitaongezeka Uefa..forward yenyewe conte anakiri bwana mdogo bado ni mwololo...au twaita ni lazy boy.[/QUO
kiongozi manU ya babu ilikua inaogopeka hata ikiwa na kikosi kibovu, refer kikosi kilichompiga asenali 8-2 alijaza mabeki wengi.
ila tokea aondoke team yenu imebakia kama mbwa mzee aliyeng'olewa meno, anabweka tu ila hangati.
Mkuu..!
Kwangu Babu ni moja ya watu waliochangia kuiyumbisha man United katika kipindi chake cha mwisho ..! Hakuandaa mazingira mazuri ya kuiacha timu.. sajili zake zilikuwa za zima Moto,
Ikafika kipindi Paul anarudishwa ilinisikitisha..akaja kutumaliza na moyes.
Ila ninyi msimu ujao nauona mlango mweupe kwa muitaliano huyu..kwanza mechi zitaongezeka Uefa..forward yenyewe conte anakiri bwana mdogo bado ni mwololo...au twaita ni lazy boy.
Tulivyowapa juan mata tulisoma namba au mliisoma nyinyi manfongo
sijakusoma mkuu unamaanisha watu hawachangii au vip?Chelsea tangu Jana Uzi haujatembea page 3
Sent From My Nokia Ya Tochi
kumbe kuna mashindano ya kusukuma uzi ili sikujuaTuwasaidie kuusukuma huu uzi, hawa watani wetu.
Ule uzi wenu umejaa mapicha picha tu na kuandika pumba tu hakuna facts kuleTuwasaidie kuusukuma huu uzi, hawa watani wetu.
Lebouf...the captain!!!Chama letu la long time - cheki vifaa hivi. Unaruhusiwa kutoa list ya timu hii kama una kumbukumbu nzuri.
![]()
We're looking to get this combination.
![]()
Hivi unajua tunahitaji wachezaji watatu badoUnauza Matic unamnyatia Kunywamaji, akili za Conte anazijua Kante kwa kweli.
Wow!!!kumbe kuna mashindano ya kusukuma uzi ili sikujua