Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hawa inter wana technique za kimourinho maana unaweza cheza nao dakika 90 usipate shoot on target!
 
Chelsea change 65'

Morata OUT
Boga IN

Willian OUT
Musonda Jr IN
Morata alivyotolewa nikaacha kabisa kuangalia mpira kwa sababu nilijiunga mb zangu kwa ajili yake ulimwona wapi lukaku anatolewa anaingia mwingine..??
Ndo muone tofauti yake na lukaku afu mjue morata hana effect yoyote kwa team hadi anatolewa na namba tisa yake mgongoni mtajuta mwaka huu hahahaaaaaa
 
Morata alivyotolewa nikaacha kabisa kuangalia mpira kwa sababu nilijiunga mb zangu kwa ajili yake ulimwona wapi lukaku anatolewa anaingia mwingine..??
Ndo muone tofauti yake na lukaku afu mjue morata hana effect yoyote kwa team hadi anatolewa na namba tisa yake mgongoni mtajuta mwaka huu hahahaaaaaa
Umeongea pumba tupu
 
Morata alivyotolewa nikaacha kabisa kuangalia mpira kwa sababu nilijiunga mb zangu kwa ajili yake ulimwona wapi lukaku anatolewa anaingia mwingine..??
Ndo muone tofauti yake na lukaku afu mjue morata hana effect yoyote kwa team hadi anatolewa na namba tisa yake mgongoni mtajuta mwaka huu hahahaaaaaa
Kwani Willian alivyotoka alikuwa hana effect? Sisi wiki ijayo tuna game ya maana. Wanapumzishwa tu

Au alivyotolea Perisic alikuwa hana effect?
 
Kwani Willian alivyotoka alikuwa hana effect? Sisi wiki ijayo tuna game ya maana. Wanapumzishwa tu

Au alivyotolea Perisic alikuwa hana effect?
We hujanielewa inshu yangu hapa nipo kwa morata usinambie mambo ya wilian sijui na nani,, morata huyo si ndo mlikuwa mnampigia makelele kwamba team ikizidiwa atakuwa anaisaidia iweje leo team izidiwe ndo muwe wa kwanza kumtoa na kumweka mtu mwingine wa ziada yake inaonesha kabisa mmeanza kutokuwa na imani naye na bado hata ligue haijaanza na EPL ilivyo na mikiki mikiki mtajuta kumkosa lukaku hahhahaaaaa
 
We hujanielewa inshu yangu hapa nipo kwa morata usinambie mambo ya wilian sijui na nani,, morata huyo si ndo mlikuwa mnampigia makelele kwamba team ikizidiwa atakuwa anaisaidia iweje leo team izidiwe ndo muwe wa kwanza kumtoa na kumweka mtu mwingine wa ziada yake inaonesha kabisa mmeanza kutokuwa na imani naye na bado hata ligue haijaanza na EPL ilivyo na mikiki mikiki mtajuta kumkosa lukaku hahhahaaaaa
Ndio nakuuliza kutolewa kwa mtu mpaka awe hana effect? Mbona kama umekariri?
 
INTERNATIONAL CHAMPIONS CUP

Chelsea 1 - 2 Inter Milan
Kondogbia (own goal) 75' - Jovetic 45 + 3' (pen),Perisic 52'
Kondogbia kapiga bonge la goli mpaka mtangazaji anasema hajawahi kuona bao la namna hiyo. Ila kipindi cha pili mmecheza vizuri sana na pia mshika kibendera kakataa goli lenu mwisho ndio mpira huo.
 
Ila Chelsea kweli hata kufunga mpaka msaidiwe?? Au na leo sio ile first eleven yenu tegemewa. Hakyanani na mkimtoa Costa sjui tutawaokotea wapi mwisho wa msimu. Mpaka nawaonea huruma vilee
 
Hahahahaaaa...!!! Jamaa wewe zaidi ya pweza aisee, vipi na kule EPL 2017/18 atafikisha magoli matatu kweli??
Mkuu hayo mengi labda moja huyu bench warmer atafikishaje hayo magoli mbona unampa masifa yasiyostahili kwa sasa hata goli halijui lilipo afu unampa hayo magoli kweli..???
Ulishawahi kumuona kapiga hata on target hata moja...??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom