Unasema timu ndogo, kijana naona hujui kitu wewe Manchester United kwenye ile meza ya team nzito nzito tatu anakutana na Dallas Cowboys na New York Yankees. Real Madrid na Barcelona wenyewe wanamsubiri parking lot, sembuse Chesi yako? probably unaweza kufikiriw kuwa hata waiter.
We jamaa bure kabisa, bila shaka hapo chelsea uliletwa na wimbi la Mourinho.
Chelsea tulikupiga kwetu kama ulivyotupiga kwenu (Kumbe na nyie mlikamia, huh)
Real Madrid goli lilipatikana asilimia kubwa walicheza kikosi cha pili vs wao Kikosi kilichochukua UEFA(Kasoro Ronaldo na Morata tu teh teh) Hapa inaonesha Madrid walikamia sio sisi.
Ninyi mbona mlikamia kwa Arsenal?? Mkakamia kwa Bayern, ila mkakuta naye kawakamia (Usimkamie asiyekamiika maana mtakamiana) teh teh teeeeeeeh
By the way, nikuulize swali moja tu, Hivi kwa EPL ni Club gani ambayo kwa msimu ulioisha imekuwa na mafanikio zaidi kushinda zote?????