eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Nimemkubali sana
Miaka 19
Match kubwa mbili amefanya poa sana
Chéki ulivyokosa chakuongea unahahaSio chesii mama wewe
Ni chelsea
Sure!Anelka now yuko hot
Team ndogo ni man fongo
Wachezaji wake hawana tofauti na hull city
Ndio maana wakicheza na team bora kama chelsea bayen,bacelona,madrid,juve wanakamia utafikiri ni mashindano
Team ndogo utaijua tu kwenye match za kirafiki watajifanya wana uwezo kumbe hawana
Kwenye league wanaishia mtaa wa sita
Huyu jamaa apewe mechi za kutosha ...
Man u sio team bora kwa sasaUnasema timu ndogo, kijana naona hujui kitu wewe Manchester United kwenye ile meza ya team nzito nzito tatu anakutana na Dallas Cowboys na New York Yankees. Real Madrid na Barcelona wenyewe wanamsubiri parking lot, sembuse Chesi yako? probably unaweza kufikiriw kuwa hata waiter.
We jamaa bure kabisa, bila shaka hapo chelsea uliletwa na wimbi la Mourinho.
Chelsea tulikupiga kwetu kama ulivyotupiga kwenu (Kumbe na nyie mlikamia, huh)
Real Madrid goli lilipatikana asilimia kubwa walicheza kikosi cha pili vs wao Kikosi kilichochukua UEFA(Kasoro Ronaldo na Morata tu teh teh) Hapa inaonesha Madrid walikamia sio sisi.
Ninyi mbona mlikamia kwa Arsenal?? Mkakamia kwa Bayern, ila mkakuta naye kawakamia (Usimkamie asiyekamiika maana mtakamiana) teh teh teeeeeeeh
By the way, nikuulize swali moja tu, Hivi kwa EPL ni Club gani ambayo kwa msimu ulioisha imekuwa na mafanikio zaidi kushinda zote?????
Nikajua kuna maneno utaongea, mbona kimya au kwa kuwa kidume kipo pale?
hapo umejiona wewe tu team zingine hujazionagoli la pili EUFA nusu fainal chelsea vs baca alifunga yeye akatufanya tukacheze fainal na tulachukua EUFA .....siku nyingine uliza maswali ..usiulize ujingaKweli wewe ni mjinga kweli tores aliifanyia nini Chelsea
Sent From My Nokia Ya Tochi
goli la pili EUFA nusu fainal chelsea vs baca alifunga yeye akatufanya tukacheze fainal na tulachukua EUFA .....siku nyingine uliza maswali ..usiulize ujinga
I BLNG 2 JESUS CHRST
Siamin katika uchambuzi huu kwa kuwa hata asingelifunga tungefuzu tu kwa goli la ugenini kumbuka match ya nyumbani chelsea alishinda 1-0 hiyo tofauti yoyote ya goli moja chelsea alikuwa anafuzuMbona unajisumbua na watu wa aina hiyo?, Hao mpira wameanza kuangalia juzi tu, hawana hizo historia,
Naona mwanaume hapo anaongoza![]()
![]()
![]()
Mnaposema Mwanaume au Kidume, mmepima kwa kipi hasa?Nikajua kuna maneno utaongea, mbona kimya au kwa kuwa kidume kipo pale?
Timu kubwa unamaanisha timu gani? Na umepima kwa nini?Mkuu, hawa waache wawe wanakuja kwenye uzi wa timu kubwa kupigapiga kelele!
Tunajua hujaangalia mpira mkuu, siku nyingine kabla hujabishana angalia mpira kwanza au subiri highlight za YouTube ndo uje kubishana.Acha kupotosha watu morata hiyo assist kaitolea wapi au alivyochemka ndo mmeanza kumtetea![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
..????
Mnaposema Mwanaume au Kidume, mmepima kwa kipi hasa?