Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea hatuhitaji shabiki kama wewe
Baki na mourinho mbwatukaji badala ya kuzungumzia litimu lake anahangaika na liverpool

Na ninyi bakini na litimu lenu, bila ya huyo Mourihno muda huu mngekuwa kama Aston villa tu. Kwanza badala ya kumzungumzia Moratu wenu mnahangaika na Lukaku.
 
Mkuu, naona umekuja kuwapa za uso hawa mashabiki wa timu ndogo!
Team ndogo ni man fongo
Wachezaji wake hawana tofauti na hull city
Ndio maana wakicheza na team bora kama chelsea bayen,bacelona,madrid,juve wanakamia utafikiri ni mashindano

Team ndogo utaijua tu kwenye match za kirafiki watajifanya wana uwezo kumbe hawana
Kwenye league wanaishia mtaa wa sita
 
Ndiyo maana Wabongo tunafeli hata kwenye ujasiriamali. Mtu akipata loss tu siku ya kwanza anakata tamaa ya biashara. Morata kacheza tu almost dk 20 baada ya kuingia dimbani dk ya 65, sasa Kama mnafanya evaluation na kuhitimisha moja kwa moja kuwa game kachemka hapo ni kukata tamaa mapema sana. Bado Morata katoa assist ya goli la pili bado tu mnasema alikuwa anakimbikimbia uwanjani.


Kama Morata ni galasha basi Pogba ni galasha mara dufu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kupotosha watu morata hiyo assist kaitolea wapi au alivyochemka ndo mmeanza kumtetea ..????
 
Hakuna cha mseminary wala ulaini, morata anajua kuliko costa na leagua haitamshinda wala kumsumbua, chelsea sio stoke city inayoamini katika kukamia na physical game, chelsea inacheza tactically na kwa ufundi wa hali ya juu, morata ni fundi na sio makhirikhiri kama bongoli lukaku

Nawapa tahari wapinzani wa chelsea hazard-morata-pedro/willian combination itakuwa ni tishio kuliko iliyopita

sent from my jamii forums app iphone 7+
Yemweee wejamaa duuh umeona Jana alivyokuwa anakimbia kimbia mle ndan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Team ndogo ni man fongo
Wachezaji wake hawana tofauti na hull city
Ndio maana wakicheza na team bora kama chelsea bayen,bacelona,madrid,juve wanakamia utafikiri ni mashindano

Team ndogo utaijua tu kwenye match za kirafiki watajifanya wana uwezo kumbe hawana
Kwenye league wanaishia mtaa wa sita
HAHAAKUU BANA UNANCHEKESHAA... KWAHIYO UNATAKA WASIKAMIE WAFUNGWE KAMA WANAVYO FUNGWA CHESII WW NDIO FURAHA YAKO AU WAWE WANAKIMBIA KIMBIA BILA MWELEKEO KAMA MORATA AU VP MKUU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
b821325ae4aa62a7a635a056ff313ea8.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom