Boom J8
Member
- Dec 20, 2016
- 92
- 56
Bado mapema sana kuhukumu....Mkuu sio unaona, piga ua Costa ni bora mara 100 kuliko Morata, hata afanye nini hawezi fikia kiwango cha toto tundu. Tatizo ni kuwa nyie si mnataka waseminary? huyo hapo Morata mmempata, ila sidhani kama atadeliver kama Costa.
Sent using Jamii Forums mobile app