Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

We nawe usituchafulie jukwaa letu.
Kufungwa mechi moja ndo yote hayo wanena,kaondoka ballack,drogba,torres nk.sembuse costa?aende tu

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu acha kutoa povu, naamini hata mashabiki wenzako wanaojua mpira wa Chelsea wanahuzunika. Effect ya costa kwa Chelsea kidogo ilingane na ya Drogba.
Eti unamfananisha costa na Torres, we unajua mpira kweli?
 
Hakuna cha mseminary wala ulaini, morata anajua kuliko costa na leagua haitamshinda wala kumsumbua, chelsea sio stoke city inayoamini katika kukamia na physical game, chelsea inacheza tactically na kwa ufundi wa hali ya juu, morata ni fundi na sio makhirikhiri kama bongoli lukaku

Nawapa tahari wapinzani wa chelsea hazard-morata-pedro/willian combination itakuwa ni tishio kuliko iliyopita

sent from my jamii forums app iphone 7+
 
Morata bado hajakamilisha dose ya double training sessions, akiimaliza hiyo atakua moto wa kuotea mbali

sent from my jamii forums app iphone 7+
 
Hakuna cha mseminary wala ulaini, morata anajua kuliko costa na leagua haitamshinda wala kumsumbua, chelsea sio stoke city inayoamini katika kukamia na physical game, chelsea inacheza tactically na kwa ufundi wa hali ya juu, morata ni fundi na sio makhirikhiri kama bongoli lukaku

Nawapa tahari wapinzani wa chelsea hazard-morata-pedro/willian combination itakuwa ni tishio kuliko iliyopita

sent from my jamii forums app iphone 7+
Huna point unaongea kishabiki sana.
 
Naona all eyes on Morata tu leo. Ila mechi ya leo ilikuwa ngumu sana kwetu kwa sababu kiungo tulielemewa sana Renato Sanchez na Tolisso walikuwa wanapindua tu katikati pale, Fabregas alikuwa hana ujanja juu yao na kumfanya mpaka Kante kupotea.

Pia upande wa Alonso ambapo alikuwa Ribery ulikuwa unafunguka sana, maana Alonso alikuwa akipanda harudi haraka sana kama Moses.

Mpaka Luiz na Morata wanaingia 'damage was already done' walijaribu kutuliza mpira, ili mlazimu Luiz kucheza kama kiungo kidogo ili kusukuma mbele mashambulizi. Kona ya Fabregas kwa usaidizi wa Morata kwa kuwania mpira na beki na kutoa assist, mpira unamkuta Batchuayi anafunga.

Wakuu Bado ni pre-season watu wanajifunza wanaona makosa yao. Ila cha muhimu msimu huu lazima kuongeza Wing-back wenye uwezo vizuri
 
Hakuna cha mseminary wala ulaini, morata anajua kuliko costa na leagua haitamshinda wala kumsumbua, chelsea sio stoke city inayoamini katika kukamia na physical game, chelsea inacheza tactically na kwa ufundi wa hali ya juu, morata ni fundi na sio makhirikhiri kama bongoli lukaku

Nawapa tahari wapinzani wa chelsea hazard-morata-pedro/willian combination itakuwa ni tishio kuliko iliyopita

sent from my jamii forums app iphone 7+

Kwanini washabiki wa Chelsick hamuwezi kuongelea timu yenu bila kumtaja Lukaku? Au ndio kuna ugonjwa mpya unaitwa Lukakuphobia
 
Ndiyo maana Wabongo tunafeli hata kwenye ujasiriamali. Mtu akipata loss tu siku ya kwanza anakata tamaa ya biashara. Morata kacheza tu almost dk 20 baada ya kuingia dimbani dk ya 65, sasa Kama mnafanya evaluation na kuhitimisha moja kwa moja kuwa game kachemka hapo ni kukata tamaa mapema sana. Bado Morata katoa assist ya goli la pili bado tu mnasema alikuwa anakimbikimbia uwanjani.


Kama Morata ni galasha basi Pogba ni galasha mara dufu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiyo maana Wabongo tunafeli hata kwenye ujasiriamali. Mtu akipata loss tu siku ya kwanza anakata tamaa ya biashara. Morata kacheza tu almost dk 20 baada ya kuingia dimbani dk ya 65, sasa Kama mnafanya evaluation na kuhitimisha moja kwa moja kuwa game kachemka hapo ni kukata tamaa mapema sana. Bado Morata katoa assist ya goli la pili bado tu mnasema alikuwa anakimbikimbia uwanjani.


Kama Morata ni galasha basi Pogba ni galasha mara dufu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nakumbuka game ya kwanza ya Lukaku mliponda kweli hasa nyie mashabiki wa chelsick, ina maana hamkujua kuwa hupaswi kukata tamaa ukipata loss siku ya kwanza ya biashara?
 
Mkuu hata mimi hii team yangu chelsea imeanza kunichosha bado sijaielewa na naona hivyo morata alikuwa anakimbia kimbia tu uwanjani kila akigusa mpira tu anaporwa mi naona bora costa kuliko morata ni maoni yangu tu.
Chelsea hatuhitaji shabiki kama wewe
Baki na mourinho mbwatukaji badala ya kuzungumzia litimu lake anahangaika na liverpool
 
Mkuu sio unaona, piga ua Costa ni bora mara 100 kuliko Morata, hata afanye nini hawezi fikia kiwango cha toto tundu. Tatizo ni kuwa nyie si mnataka waseminary? huyo hapo Morata mmempata, ila sidhani kama atadeliver kama Costa.
Mmevamia kama kwenu
Subiri league ianze utamjua morata
Huyo costa mwenyewe mlikuwa mnamponda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom