Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Dogo kazingua sana na wamfukuze kwenye timu ili ajue alikosea
 
The life of Wanted Men's !!. Wawili ama watatu kati ya hawa wanahitajika darajani kwa gharama yoyote ile!!

skysports-virgil-van-dijk-alex-sandro-fernando-llorente-antonio-candreva-football_4010992.jpg

Virgil van Dijk, Alex Sandro, Fernando Llorente, Antonio Candreva
 
Mechi ya leo:

Chelsea 0 - 3 Bayern Munich

Team to face Bayern: Courtois; Azpilicueta, Christensen, Cahill (c); Moses, Kante, Fabregas, Alonso; Willian, Batshuayi, Boga.
 
Kenedy kinda wa chelsea arudishwa london baada ya Wachina kuchukia kutokana na Post zake kwenye mtandao wa kijamii
Club ililazimika kuomba radhi na kenedy pia aliomba radhi lakini club imeamua kumrudisha nyumbani kama adhabu kwa tukio hilo

Yasemekana picha alizoziweka ziliwachukiza mashabiki wa chelsea china hata kuizomea wakati wa Match dhidi ya arsenal
Mkuu mbona umepotea sana vip matokeo ya huko kwenu .???
 
The life of Wanted Men's !!. Wawili ama watatu kati ya hawa wanahitajika darajani kwa gharama yoyote ile!!

skysports-virgil-van-dijk-alex-sandro-fernando-llorente-antonio-candreva-football_4010992.jpg

Virgil van Dijk, Alex Sandro, Fernando Llorente, Antonio Candreva
Mkuu upo online afu huleti matokeo vip tena ..??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom