Nuran Jr
JF-Expert Member
- Jul 15, 2017
- 273
- 234
afu uzuri wa chelsea huwa hatujui kubishana mitandaoni si tunatia kazi tu uwanjaniii..hapa hazard..kule bakayoko...pale rudiger...anamaliza mtu Kati ALVAGOOOOOOOO...ngoja tukamirishe na sandro ndio mjue kwamba chelsea tunataka ubingwa na sio manenoUtajua na man u yako
Chelsea mbele kwa mbele tu
Win win win
I BLNG 2 JESUS CHRST