Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu mm sikatai kwamba Lukaku ni mchezaji mzuri na ameweza kuthibisha kuwa anaweza kufunga magoli mengi katika EPL, lakini nataka nikuambie kuwa Morata ni zaidi ya mfungaji.

¶Anaweza kujitengenezea nafasi za magoli(creativity) kitu ambacho hakionekani kwa Lukaku,

¶ Anaweza kufunga magoli machache kuliko Lukaku lakini akatengeneza magoli mengi zaidi ya Lukaku. Kwa maana hiyo with Man U Lukaku anaweza kufunga magoli 28 na kutoa assist 3 za magoli lakini Morata anauwezo wa kufunga magoli 25 na akatengeneza assist 14 za magoli.

Kwa usipotezwe na magoli 25 alifunga Lukaku dhidi ya 15 ya Morata. Jaribu kuangalia Lukaku amecheza mechi ngapi? Na Lukaku amecheza mechi ngapi mpaka anascore 25 goal?


Sent using Jamii Forums mobile app
Unashindwa tambua MORATA anacheza ligi gani na pia unashindwa jua kuwa MORATA Madrid kule alizunguka na world class player au unataka sema na cc tunao ao worls5ckass wakutisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unashindwa tambua MORATA anacheza ligi gani na pia unashindwa jua kuwa MORATA Madrid kule alizunguka na world class player au unataka sema na cc tunao ao worls5ckass wakutisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Una tatizo ambalo ni la kisaikojia na hata nikisema nakuelewesha jambo huwezi kunielewa. Hivi unacheza na Hazard,Wilian, Fabrigas nyuma na Pedro yuko pembeni alafu unasema hauna World class players! So astonishing.

Hivi Nambie, kati ya kikosi cha Man U na Chelsea ni kipi unaona kimeshiba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una tatizo ambalo ni la kisaikojia na hata nikisema nakuelewesha jambo huwezi kunielewa. Hivi unacheza na Hazard,Wilian, Fabrigas nyuma na Pedro yuko pembeni alafu unasema hauna World class players! So astonishing.

Hivi Nambie, kati ya kikosi cha Man U na Chelsea ni kipi unaona kimeshiba?

Sent using Jamii Forums mobile app
Achana nae hajielewi huyo
 
Fedha haina thamani kwa mchezaji kwa sasa. Zitarudi hivi punde

Kwani Pogba 100 kuna nini cha ziada? Mbona tumeona kawaida tu, soka limebadilika.
ile man u ya msimu uliopita kama asingekuwepo pogba sa hivi mngekuwa nafasi ya 10.wachache sana tunajua mchango wa pogba pale man u
 
Eden Kimario, anaesuasua na ataepigwa benchi na Rudiger ni Cahill sio Luiz
Cahil Uingereza utambeba, So Luis ana hatihati ya kukaa benchi kwani pia ana vimakosa vidogovidogo, Sidhani kama Azip atawekwa nje, jamaa ni bonge la Beki Kiraka, maaana kila namba pale nyuma anacheza
 
Una tatizo ambalo ni la kisaikojia na hata nikisema nakuelewesha jambo huwezi kunielewa. Hivi unacheza na Hazard,Wilian, Fabrigas nyuma na Pedro yuko pembeni alafu unasema hauna World class players! So astonishing.

Hivi Nambie, kati ya kikosi cha Man U na Chelsea ni kipi unaona kimeshiba?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ivi unajua world class player features na niwapi??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
cd00a54679a048dd55986af415e8cfe5.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom