Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,276
Ndo lengoMI nataka tu tulibebe tena mwaka huu
Ndo lengoMI nataka tu tulibebe tena mwaka huu
Hizo ni chuki tu costa alichukua muda gani Eden alichukua muda ganiNaomba afanye fasta ili kesho kutwa jumamosi mkikutana na asernal kwenye kombe la asia mtuletee hapa majibu,,morata ni mzuri ila itachukua sana muda kuzoea epl sijapinga usajili wenu.
Naomba afanye fasta ili kesho kutwa jumamosi mkikutana na asernal kwenye kombe la asia mtuletee hapa majibu,,morata ni mzuri ila itachukua sana muda kuzoea epl sijapinga usajili wenu.
Nilikuwa mmoja ya wale waliokuwa wakipinga usajili wa lukaku chelsea
Huwa sijawahi kumkubali kabisa
Mmh mkuu sasa mbona kule ni mkaa bench ata team yake ya taifa anasugua... Iv atujaingizwa chaka kuwaiga manure kisa walionesha kumtaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Anatakiwa akajiunge haraka na wenzake marekani
Morataaaaaa
Man u mnasikia uchunguu ndio hivyo kashatua
Bado Alex Sandro wa Juventus mkuu, Alonso yupo vizuri ila yupo slow kidogo. Akija Sandro itakuwa vizuri sanaChelsea tuko tayari na timu imeshakamilika, Fabgas hauzwi, atatufaa sana kwenye UEFA
Bado Alex Sandro wa Juventus mkuu, Alonso yupo vizuri ila yupo slow kidogo. Akija Sandro itakuwa vizuri sana
Aisee... Umemaliza kabisa!Tofauti kubwa ya Lukaku dhidi ya alvaro ni hii
Lukaku ana force sana kupata matokeo wakati Alvaro yuko natural, ni style ua eden kwa uchezaji. Ana acuracy nzuri na expectation ya kukua zaidi ni kubwa kwa Alvaro kuliko Lukaku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sandro juve sijui kama watauza tenaBado Alex Sandro wa Juventus mkuu, Alonso yupo vizuri ila yupo slow kidogo. Akija Sandro itakuwa vizuri sana
Matic si ni part ya deal, nadhani watakubali tu. Maana wanamtaka Matic au Emre Can. Sidhani kama watampata Can. Deal rahisi ni ya MaticSandro juve sijui kama watauza tena
Ivo uoni conte ndio kapigwa changa kwa pressure yakuto kusajiliKwa mgumo wa Chelsea angetusumbua sana, alafu kufunga goli nyingi msimu u,iopita sio kigezo cha kuwa mfungaji bora au Mzuri, nilifurahi sana Mou alipoingia kichwakichwa kwa Lukaku