Kyatile
JF-Expert Member
- Feb 5, 2017
- 1,736
- 1,582
Lukaku alikuwa chaguo la kwanza la Emenalo, ambaye ni technical director wa Chelsea, lakini chaguo la kwanza la Conte lilikuwa Morata. Kama unakumbuka hata msimu wa January Conte alimhitaji Morata ila uhamisho ukashindikanaSiyo kweli mkuu,
Chaguo la kwanza lilikuwa Lukaku
La pili Morata
La tatu belloti
La nne aubamang
Auguero ilikuwa tukikosa muelekeo tumchukue
Sent using Jamii Forums mobile app