Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hilo la costa kuondoka lilitarajiwa na ilikuwa ni issue ya muda sahihi na huu ndio muda sahihi, hawezi kuwa pengo pale Darajani
 
anaweza akabaki tu chelsea hadi hiyo january ndio akauzwa au aende china kabisa

Kocha keshambwambia hayupo kwenye mipango yake, hivyo hata akaibaki atafanya nini?, hawezi kupangwa wala kufanya mazoezi na timu, A Madrid wamsajiri tu na kisha wamtoe mkopo wa muda mfupi wa miezi mitano ama sita
 
Ila hili swala la Costa utafikiri linaharibu image ya team na Conte mwenyew maan kuna sehemu nyingine wachezaji wengine wanasema Conte kam treat vibaya Costa
 
Ila hili swala la Costa utafikiri linaharibu image ya team na Conte mwenyew maan kuna sehemu nyingine wachezaji wengine wanasema Conte kam treat vibaya Costa
Karma is a bitch, they treated mourinyo very unfairly
 
Za chini chini ni kuwa Conte alimvumilia sana Costa..inasemekana alikuwa mchezaji asiye na nidhamu kbsa uwanjan na nje ya uwanja..mara siku zngne alikuwa analazimishwa kucheza au pia akizingua ndani anaforce apewe sub..siku ya sherehe kuna mvinyo ulitengwa special ufunguliwe na kocha kwa ajili ya kuanzisha sherehe za ubingwa lkn jamaa alifungua mvinyo huo bila kujali heshima kwa kocha na kuugawa kwa wenzie na badae kulewa na video zake kusambaa akishangilia na boksa huku akibambia wenzie..inshort ni kwmba kavumiliwa sana kinidhamu akashindikana
 
Za chini chini ni kuwa Conte alimvumilia sana Costa..inasemekana alikuwa mchezaji asiye na nidhamu kbsa uwanjan na nje ya uwanja..mara siku zngne alikuwa analazimishwa kucheza au pia akizingua ndani anaforce apewe sub..siku ya sherehe kuna mvinyo ulitengwa special ufunguliwe na kocha kwa ajili ya kuanzisha sherehe za ubingwa lkn jamaa alifungua mvinyo huo bila kujali heshima kwa kocha na kuugawa kwa wenzie na badae kulewa na video zake kusambaa akishangilia na boksa huku akibambia wenzie..inshort ni kwmba kavumiliwa sana kinidhamu akashindikana
Duuh sasa hiyo kweli ilikuwa too much lakini sishangai ndio tabia za costa na ndivyo alivyo nikizingumzia kuwa ana nature ya ukorofi
 
Za chini chini ni kuwa Conte alimvumilia sana Costa..inasemekana alikuwa mchezaji asiye na nidhamu kbsa uwanjan na nje ya uwanja..mara siku zngne alikuwa analazimishwa kucheza au pia akizingua ndani anaforce apewe sub..siku ya sherehe kuna mvinyo ulitengwa special ufunguliwe na kocha kwa ajili ya kuanzisha sherehe za ubingwa lkn jamaa alifungua mvinyo huo bila kujali heshima kwa kocha na kuugawa kwa wenzie na badae kulewa na video zake kusambaa akishangilia na boksa huku akibambia wenzie..inshort ni kwmba kavumiliwa sana kinidhamu akashindikana
mkuu nikama uko akilini mwangu ni bora tumtegemee bat man lakini siyo diego
 
diego hakutegemea reaction ya namna hiyo kutoka kwa kocha ukizingatia alijua conte ni mpole kumbe hakujua kuwa conte alijinyenyekeza ilu apate ubingwa
 
Kocha keshambwambia hayupo kwenye mipango yake, hivyo hata akaibaki atafanya nini?, hawezi kupangwa wala kufanya mazoezi na timu, A Madrid wamsajiri tu na kisha wamtoe mkopo wa muda mfupi wa miezi mitano ama sita
Ni kweli hilo linaweza kutokea. Au akaenda Ac milan kama tetesi zinavyosema
 
Wakuu Costa akikataliwa na timu hizo kubwa inakuwaje mbona anatia huruma sana!


Na Kocha hamtaki.
 
Ila hili swala la Costa utafikiri linaharibu image ya team na Conte mwenyew maan kuna sehemu nyingine wachezaji wengine wanasema Conte kam treat vibaya Costa
Angefanya Mourinho dunia nzima ingepiga kelele
 
Duh kweli wakuu mmemchoka Costa...ila Costa mbona ana improve kidogo kidogo!

Costa akiacha mahasira yake ni bonge la striker...the more wanafanya mazoezi, the more cohesion yake na patners wake inakuwa nzuri.

In my view tunahitaji mtu mwingine kwa nafasi ya Mitchy Batshuayi....na mtu huyo awe mmoja kati ya Tammy Abraham au Betrand Traore! Hawa madogo watasaidia kwenye FA, EFL, na ligi mara moja moja.

LA SIVYO..tuachane na habari ya kutafuta Striker..kama Costa ataondoka kweli basi tumchukue Sanchez..tucheze kama Spain na hao madogo warudishwe kikosini. Msimu ujao tutakuwa na mechi nyingi za kutosha.

Pale kati kwa Matic kwa kuwa tushampata Makelele hatuhitaji saana kuwa na Matic...tunahitaji mtu wa calibre ya Fabregas.

Defence...Cahill!!!! Sio mbaya ila...
Makelele yupi mkuu unae msema?
 
Acha aende hakuna alie juu ya chslsea,, na jamaa si kila msimu alikua anasema anaondokaa sasa milango iko wazii
 
Tiemoue Bakayoko: TETESI

Monaco's Tiemoue Bakayoko is flying over to London this weekend with a move to Chelsea appearing imminent. [Mail]

Chelsea manager Antonio Conte is a fan of the 22-year-old, who would fit into their midfield alongside the ever-reliable N'Golo Kante.

Meanwhile, L'Equipe claim that the Ligue 1 champions and Premier League winners are close to reaching an agreement over the midfielder's fee, believed to be near the €40million (£35m) mark.

Discussions between the Blues and Bakayoko's representatives have gone on for several weeks and a move seems very likely now.

It remains to be seen what will happen with midfielders Cesc Fabregas and Nemanja Matic, both of whom have admirers from home and abroad.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom