Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread


Karibu sana, umechagua timu Bora sana, timu ya wastaarabu huwezi sikia matusi kwa mtu wa Chelsea, umekaribia wakati mzuri ambao ndio tunachukua kombe, usijisikie mpweke, kuna jirani ztu poa huwa wanaingia humu BAK , mwanafyale Wacha1 , na wengineo hawana shida kabisa zaidi ya wivu tu kwa timu yetu
 
Screenshot_2017-05-10-09-58-04.jpg
 
Katika vitu ambavyo sitaki kusikia kipindi hiki cha usajili ni kumsajili lukaku ni bora morata mara mia huyu lukaku simkubali kabisa maana costa anaondoka tunahitaji mastriker wawili Adrea belote na alvaro morata bila kusahau mabaki 2
 
Yani mm hapa nilipo nimevaa jezi na koti LA Chelsea mwezi mzma nguo zangu ni izo tu saiv I can't wait for Friday night weekend oyoooooooooooooo majirani km hawaoni matokeo
Kutandika vigogo mfululizo kumetuwezesha kushinda kombe. Ili mtu ashinde lazima uwachape vigogo. Kama kibonde Crystal Palace kisingetutibulia na marehemu Man U wasingetukaba koo, sasa hivi kombe lingekuwa linahemea Darajani. Anyway, Ijumaa sio mbali. Let us wait eagerly to lift our cup mubashara! 😎😎😎😎😎😎😎
 
Katika vitu ambavyo sitaki kusikia kipindi hiki cha usajili ni kumsajili lukaku ni bora morata mara mia huyu lukaku simkubali kabisa maana costa anaondoka tunahitaji mastriker wawili Adrea belote na alvaro morata bila kusahau mabaki 2
Mkuu unawaza kama mimi. Lukaku ni mfungaji mzuri ila pressure ya timu kubwa haiwezi. Kama kweli tunataka kufika mbali champions league Conte atatakiwa kuchanga karata zake vizuri.
Tutahutaji strikers wawili makini na wenye njaa muda wote, bila kusahau beki wa kumsaidia gary cahill maana msimu ujao sina uhakika kama ataendelea kuwa kama sasa.
 
Mkuu unawaza kama mimi. Lukaku ni mfungaji mzuri ila pressure ya timu kubwa haiwezi. Kama kweli tunataka kufika mbali champions league Conte atatakiwa kuchanga karata zake vizuri.
Tutahutaji strikers wawili makini na wenye njaa muda wote, bila kusahau beki wa kumsaidia gary cahill maana msimu ujao sina uhakika kama ataendelea kuwa kama sasa.
Mkuu, mawazo yenu hayako mbali sana na yangu. Kweli Lukaku ni mfungaji lakini ni spoon feeder....anategemea watu wamlishe tu....hawezi kutafuta na kukimbia na mipira. Staili yake haitofautiani sana na ya Costa....huyu anapoteza sana mipira na anapenda kujiangusha ovyo (tofauti na msimu wa kwanza alipoanza kazi Darajani). Costa naye auzwe tu ili tupase pesa za kununulia straika mpya. Ukiangalia mechi ya juzi ilikuwa tufunge magoli mengi lakini yeye kila akipewa mipira alikuwa anaipoteza kizembe kabisa na kuwapa wachezaji wenzake wakati mgumu wa kuitafuta. Hafai. Tunamhitaji striker mwenye nguvu na anayeweza kumiliki mpira kama Aguero.
 
Mkuu, mawazo yenu hayako mbali sana na yangu. Kweli Lukaku ni mfungaji lakini ni spoon feeder....anategemea watu wamlishe tu....hawezi kutafuta na kukimbia na mipira. Staili yake haitofautiani sana na ya Costa....huyu anapoteza sana mipira na anapenda kujiangusha ovyo (tofauti na msimu wa kwanza alipoanza kazi Darajani). Costa naye auzwe tu ili tupase pesa za kununulia straika mpya. Ukiangalia mechi ya juzi ilikuwa tufunge magoli mengi lakini yeye kila akipewa mipira alikuwa anaipoteza kizembe kabisa na kuwapa wachezaje wenzake wakati mgumu wa kuitafuta. Hafai. Tunamhitaji striker mwenye nguvu na anayeweza kumiliki mpira kama Aguero.
Mkuu costa tayari ameshatangaza kuondoka mwishoni mwa msimu huu kuelekea China!

Naona Ameamua kumfuata ramires kwenye hela nyingi
 
Katika vitu ambavyo sitaki kusikia kipindi hiki cha usajili ni kumsajili lukaku ni bora morata mara mia huyu lukaku simkubali kabisa maana costa anaondoka tunahitaji mastriker wawili Adrea belote na alvaro morata bila kusahau mabaki 2

upo sahihi mkuu Lukaku hamna kitu mule" ila hata huyo Morata pia tunaingia cha kike, ni laini sana!" pia naona kama hajui kuhold mipira .........sidhani km ni chaguo sahihi.
 
Mkuu costa tayari ameshatangaza kuondoka mwishoni mwa msimu huu kuelekea China!

Naona Ameamua kumfuata ramires kwenye hela nyingi
Safi sana. Bora aondoke nipumue...yaani simpendi kabisa yule straika. Ningekuwa mm ndiye kocha ni afadhali nimchezeshe Bashway kuliko Costa.
 
Duh kweli wakuu mmemchoka Costa...ila Costa mbona ana improve kidogo kidogo!

Costa akiacha mahasira yake ni bonge la striker...the more wanafanya mazoezi, the more cohesion yake na patners wake inakuwa nzuri.

In my view tunahitaji mtu mwingine kwa nafasi ya Mitchy Batshuayi....na mtu huyo awe mmoja kati ya Tammy Abraham au Betrand Traore! Hawa madogo watasaidia kwenye FA, EFL, na ligi mara moja moja.

LA SIVYO..tuachane na habari ya kutafuta Striker..kama Costa ataondoka kweli basi tumchukue Sanchez..tucheze kama Spain na hao madogo warudishwe kikosini. Msimu ujao tutakuwa na mechi nyingi za kutosha.

Pale kati kwa Matic kwa kuwa tushampata Makelele hatuhitaji saana kuwa na Matic...tunahitaji mtu wa calibre ya Fabregas.

Defence...Cahill!!!! Sio mbaya ila...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom