The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 34,419
- 103,903
Mwambie huyo kwamba hawezi kuwa bingwa kwa kumchukia timu jirani.akomae tuAfadhal ww unajua kuongea ukwel jirani yako hapa kanizimia TV kwa hasira na roho mbaya![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Jamaa atakua ka mind ..nataka wandishi wamuhoji tena nione atawajibu niniNakumbuka kwenye listi yake hakumwesabu kabisa conte kwenye mbio za ubingwa......Aibu yake. Next week tunapigiwa makofi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ubingwa Mtamu...Salamu kwa Majirani zetu wa London >..Arsenal na Spurs!
hongereni wakubwa
ila punguzeni kelele mitaani huku sasa, mli deserve
HONGERENI sana
Mmepigana vita vitakatifu kwa weredi mkubwa!
The genius Kocha Conte,wachezaji wanao jituma,technical stafd na MASHABIKI wote wa Chelsea popote mlipo hongereni sana!
Lkn mwakani MAJOGOO yanachukua ubingwa mechi 5 mkononi

hahaha wadau njooni muone huku amerudi nilifikiri hatarudi hahahaHONGERENI sana
Mmepigana vita vitakatifu kwa weredi mkubwa!
The genius Kocha Conte,wachezaji wanao jituma,technical stafd na MASHABIKI wote wa Chelsea popote mlipo hongereni sana!
Lkn mwakani MAJOGOO yanachukua ubingwa mechi 5 mkononi
hahaha leo conte kawa genious?HONGERENI sana
Mmepigana vita vitakatifu kwa weredi mkubwa!
The genius Kocha Conte,wachezaji wanao jituma,technical stafd na MASHABIKI wote wa Chelsea popote mlipo hongereni sana!
Lkn mwakani MAJOGOO yanachukua ubingwa mechi 5 mkononi
Ahsante sana mzee wa majogoo... tunakuombea na wewe ufanikiwe kubaki Top 4 ili next season tukapambane wote kurudisha heshima ya Epl kule UEFA CHAMPIONS LEAGUEHONGERENI sana
Mmepigana vita vitakatifu kwa weredi mkubwa!
The genius Kocha Conte,wachezaji wanao jituma,technical stafd na MASHABIKI wote wa Chelsea popote mlipo hongereni sana!
Lkn mwakani MAJOGOO yanachukua ubingwa mechi 5 mkononi
Mkuu inaonekan uko vizuri sana kufanya followup. Je madogo wamebeba au Reading wamebania?Msimu mzuri kwa chelsea never experienced.
Fa cup U18 2016/17. Madogo wamebeba. Hili sasa wamebeba Mara tano mfululizo.
EPL champion league 2016/17. Leo wanatawazwa mabigwa mpaka sasa wanaongoza 1 dhidi ya Leading.
Wakubwa wa London.
FA cup tutacheza finali 27/5/2017. Posibility ya kubeba upo.
EPL champion league tunaongoza kwa point 7 mbele ya Spurs. Kuna posibility ya kutawazwa Leo mabigwa....Rahaa sana kuwa na timu kama ya chelsea.#comeonechelsea#
Ahsante sana Mzeee wa kujifarijiHONGERENI sana
Mmepigana vita vitakatifu kwa weredi mkubwa!
The genius Kocha Conte,wachezaji wanao jituma,technical stafd na MASHABIKI wote wa Chelsea popote mlipo hongereni sana!
Lkn mwakani MAJOGOO yanachukua ubingwa mechi 5 mkononi