Half - Timeupdates tafadhali wadau wengine hatuko kwenye kideo
Nakumbuka kwenye listi yake hakumwesabu kabisa conte kwenye mbio za ubingwa......Aibu yake. Next week tunapigiwa makofiFurgason itakua imemuuma sana maana alijifanya anamzarau sana conte kua hawezi chukua ligi sasa kachukuaa ..ujumbe umfikie

Afadhal ww unajua kuongea ukwel jirani yako hapa kanizimia TV kwa hasira na roho mbayaHongereni sana Chelsea.
Mimi ni team MUFC.
Mlistahili kuchukua ubingwa.
