Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Na mimi nipo jamani...
ae165e61bb21ca7e535792b7fd36b84b.jpg
 
Msimu mzuri kwa chelsea never experienced.

Fa cup U18 2016/17. Madogo wamebeba. Hili sasa wamebeba Mara tano mfululizo.

EPL champion league 2016/17. Leo wanatawazwa mabigwa mpaka sasa wanaongoza 1 dhidi ya Leading.

Wakubwa wa London.

FA cup tutacheza finali 27/5/2017. Posibility ya kubeba upo.

EPL champion league tunaongoza kwa point 7 mbele ya Spurs. Kuna posibility ya kutawazwa Leo mabigwa....Rahaa sana kuwa na timu kama ya chelsea.#comeonechelsea#
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom