Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Thanks ze bluzz, tc a big day, a big season, we made it

Hongera sana Conte na majembe yoteeee ya darajan

There is something in u, Ngolo Kante,,, last season at Leicester cty and they won
And now at the bridge the champion again
T might b a coincidence bt I will keep an eye on u
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ataye muona Malafyale amwambie aje tusherehekee, mwaka huu tunachukua vikombe vyote, kuanzia under 17,18 19, 2 mpaka Senior
 
Mkuu inaonekan uko vizuri sana kufanya followup. Je madogo wamebeba au Reading wamebania?
Wamebeba. Madogo wamemnyuka Reading 3 bashite.
14ef3c911f643da0f8519724f171ada3.jpg
 
hongereni sana wadau, mmepigana kweli hatimae mmefanikiwa[emoji122] [emoji122] [emoji122]

mentor, Ntuzu, kunguru mjanja, fablo can, kituko, kalou na wengineo mmestahili[emoji109]
 
hongereni sana wadau, mmepigana kweli hatimae mmefanikiwa[emoji122] [emoji122] [emoji122]

mentor, Ntuzu, kunguru mjanja, fablo can, kituko, kalou na wengineo mmestahili[emoji109]

Asante Mkuu, poleni wazee wa namba SITA, Kocha Mourinho kaishiwa mbinu, kila siku anagombana na kuwavunja moyo wachezaji, mtapata shida sana na huyo kocha
 
Batsh akishangilia kwa nguvu
image.jpg


Captain Baba mwenye Nyumba akibebwa na vijana wake ni kombe lake la tano la EPL
image.jpg


Mastermind, Mzee wa mihemko CONTE, Mourinho anapashwa kujishusha na kuwa kama huyu kwa sasa, Conte ni kipenzi cha Maboss wake, Wachezaji, Makocha wenzie, Mastaff wote pamoja na sisi Mashabiki
image.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom