Nani aumiliki uzi huu ili autendee haki?Moderator Invisible ambaye ni mwana Chelsea mwenzetu ndiye huwa anaupdate huu uzi, ni kweli unahitajika maboresho kidogo, kwa sababu mpaka sasa kocha anaonekana kuwa ni Mou
Nadhani inhekuwa Busara, kama angepatikana mtu wa kuumanage huu uzi, mtu mwenye muda na mwenye uwezo wa kutu-update kila muda
Tammy Abraham - bristol huyu jamaa ni drogba mpya tumrudishe haraka ni hatari tupu
Tammy Abraham - bristol huyu jamaa ni drogba mpya tumrudishe haraka ni hatari tupu
habari mkuu Invisible nadhani itapendeza au kati ya
nadhani itapendeza zaidi au wewe utakavyoona inafaa zaidi
ulicho kisema ni sahihi kabisaNadhani inhekuwa Busara, kama angepatikana mtu wa kuumanage huu uzi, mtu mwenye muda na mwenye uwezo wa kutu-update kila muda
Hope member watatoa maoni yao japo Kunguru Mjanja ni chaguo zuri pia
huyu jamaa huwa anacheza mpira for fun ndiyo maana kipindi na mata yupo walikuwa wanacheza 1,2 kama ni rahisi kivile
sasa wakati wanacheza pamoja na mata ungependaje walikuwa wanapiga 1,2 for fun
Pam0jaModerator Invisible ambaye ni mwana Chelsea mwenzetu ndiye huwa anaupdate huu uzi, ni kweli unahitajika maboresho kidogo, kwa sababu mpaka sasa kocha anaonekana kuwa ni Mou
CattenacioMi najua 3-some! Hiyo nyingine waseme wengine.
Ule mfumo unaitwa Cattenaciomimi ninavyojua anaposhambulia beki wanabaki watatu ambao ni luis,azplicueta, na cahill hilo lakubaki mmoja ndiyo nalisikia kwako,
ndugu idawa vipi tuko pamoja kwenye jukwaa hili au umekuja kutusalimia maana mara nyingi ninakucheki kwenye jukwaa la bwana yule
kile kipindi mkuu kilikuwa kitamu sana, watu walikuwa wanapeana tu. Ila naona kama ile hali inarudi tena kati ya Pedro na Hazardhuyu jamaa huwa anacheza mpira for fun ndiyo maana kipindi na mata yupo walikuwa wanacheza 1,2 kama ni rahisi kivile
sidhani kama kama hazard atapata partner kama yulekile kipindi mkuu kilikuwa kitamu sana, watu walikuwa wanapeana tu. Ila naona kama ile hali inarudi tena kati ya Pedro na Hazard
We admin unanikera na ban unazonipa humu nikisemaga pigaaa mbwaa
kwa mambo haya hazard anafananishwa na james kwelii!!!!! ".......... unakua ni ukatili wa hali ya juu.
Pamoja sn mkuuAsanteni sana wakuu, kwa kupewa uzi huu. Ila ni wetu sote tushirikiane kuambiana nini kiwepo kuupendezesha uzi huu
[HASHTAG]#KTBFFH[/HASHTAG]
Asante mkuu kwa kuitikia wito wetu...

Hongera mkuuAsanteni sana wakuu, kwa kupewa uzi huu. Ila ni wetu sote tushirikiane kuambiana nini kiwepo kuupendezesha uzi huu
[HASHTAG]#KTBFFH[/HASHTAG]