Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Giro, Acha ubabaishaji hapa nani kasema M.U atashinda mechi zake zote? uliona walivyocheza na Spurs? (mlishinda kimbinde sio kimpira na hiyo haitajirudia tena) mechi ya Sunderland itakuwa droo kubali isikubali....

Tunawasubiria kwanza mtatue matatizo yenu ya leo, then Liverfools bila shaka tutakuwa tumeshapata cha kusema.
 
Chelsea v Stoke City line-ups:
Chelsea:
Cech, Paulo Ferreira, Ivanovic, Alex, Ashley Cole, Lampard, Ballack, Malouda, Kalou, Drogba, Anelka.

Stoke: Sorensen, Higginbotham, Huth, Abdoulaye Faye, Collins, Delap, Whitehead, Whelan, Etherington, Fuller, Kitson.

Wameamua kuingiza kikosi chote cha mauaji haya kila la kheri
 
Mechi ninayoisikitikia iliyompa advantage Chelsea na kuweka hatihati ubingwa wetu ni ile tuliyofungwa na kibonde kilichoshushwa daraja leo, nazungumzia Burnley.
 
Kwanini Drogba hafungi wakati yeye ndo anafukuzia kiatu cha dhahabu?
 
...huu ni Ujinga, team ya EPL ifungwe goli Sita, Saba,...maana yake nini?

Siajabu wameuza game hawa wapate pesa za usajili...Chelski mmmeshtukia
mtakuwa neck-neck na Manure mnaona bora mjilimbikizie magoli sasa?
Najua mtanitupia viatu lakini ukweli ndio huo, mmenunua game!...:behindsofa: ...ha ha haa!
 
Mpira umekwisha 7 - 0. Hongera Chelsea na mashabiki wote wa darajani.
Bado hapo Anfield sasa.
 
...huu ni Ujinga, team ya EPL ifungwe goli Sita, Saba,...maana yake nini?

Siajabu wameuza game hawa wapate pesa za usajili...Chelski mmmeshtukia
mtakuwa neck-neck na Manure mnaona bora mjilimbikizie magoli sasa?
Najua mtanitupia viatu lakini ukweli ndio huo, mmenunua game!...:behindsofa: ...ha ha haa!

Wakati mwingine unaandika pumba na upupu! ni busara kusifia pale panapo stahili.....very low from you! Spurs alipomfunga Wigan 9-1 mbona hukuja na huu ujinga? Umeniboa sana sana!

Wana Chelsea msimpe nafasi huyo looser wa fat arse Anal, mechi ikipigwa kama leo Anfield sioni wa kuzuia kikombe!
 
Mpira umekwisha 7 - 0. Hongera Chelsea na mashabiki wote wa darajani.
Bado hapo Anfield sasa.

Kiongozi uliona ile control ya mpira kwa Drogba? baadaye akamshushushia majalooo Kalou! that was unbelievable
 
Tony Pulis says he and his Stoke team "had our pants pulled down and our backsides slapped" by Chelsea after losing 7-0 to the Blues at Stamford Bridge in the Premier League

No excuse hahahahahahah TONY Pulis nimesikia raha sana......hakuna kulia kama a high school girl Mzee Arsene Wanker
 
SAM Hutchinsons this young man has a great future! nimemfurahia sana hata Sturridge next season mambo mswano!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom