Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Habari rasmi zilizofika mitamboni ni kwamba marefa waliokuwa wachezeshe mchezo huu hawakuweza kusafiri kutokana na anga ya UK kuwa katika quarantine na waliapa hawawezi kusafiri kwa treni hivyo jitihada za mwisho mwisho za kubadili wasimamizi hao ndio chimbuko la kipigo cha leo. You need to blame mother nature Iceland ...... ..... hapa chini:



Khe khe khe khe kheeeeeeee
 
Man U are not good enought to beat City at Home - Bellamy, Adebayor and Teves are in TOP form at a moment.

Tonteham are not good enought to beat ChelseaFc


Sor far so good for ChelseaFC - The Double will be good enought this season.

Sorry for Man U, Arsenal and Liverpool fun's for last week bad results - Congraturation M-CITY to break into TOP FOUR.

Wenger prove to us that " Football is not all about MONEY"

teh teh teh mkuu naomba utabiri gemu nyingine ya CHELSEA maanake utabiri wako ni mzuriiii saaana!!!!!!
 
Congratulation to Spuds! Wamejitahidi kushinda match. We're still in the title race and in good position. What a season!
 
Come on Blues!
Hawa vijana kama wanataka kucheza ligi ya mabigwa basi hiki walichokifanya kwetu itabidi na game na manure wafanya kama leo.Ila bado tunanafsi kubwa ya kuwa mabigwa msimu huu. Tungeshinda tungejihakikishia kombe na kufungwa tumeweka ubigwa rehani.
 
Man U are not good enought to beat City at Home - Bellamy, Adebayor and Teves are in TOP form at a moment.

Tonteham are not good enought to beat ChelseaFc

Sor far so good for ChelseaFC - The Double will be good enought this season.

Sorry for Man U, Arsenal and Liverpool fun's for last week bad results - Congraturation M-CITY to break into TOP FOUR.

Wenger prove to us that " Football is not all about MONEY"

Mzee utabiri wako mzuri kweli kweli najua hatutokuona mpaka siku mtakayoshinda tena.
Hapo kwenye nyekundu ni kweli ndio maana ukiangalia mechi zetu zote mbili dhidi ya Man City wachezaji waliotupa ushindi ni wale ambao hatukulipa chochote kuwapata, kwa upande wa Chelsea sijui ata kama mna mchezaji mmoja mliempata bila kumwaga mihela.
 
Funny enough humu ndani si Manu wala Lipuli wanaokuja ila ni kina Wenge Musica na Kwasa Wacha!
 
Q: What is the difference between a battery and a Chelsea fan?
A: A battery has a positive side.

1. Four surgeons are taking a coffee break:
1st surgeon says "Accountants are the best to operate on because when you open them up, everything inside is numbered."
2nd surgeon says "Nah, Librarians are the best. Everything inside them is in alphabetical order."
3rd surgeon says "Try Electricians, man! Everything inside them is colour coded."
4th surgeon says "I prefer Chelsea fans. They're Heartless, Spineless, Gutless, Brainless and their Heads and Arse's are interchangeable!"
 
...namna gani pale, MASANILO upo??? Nyie Chelski mna laana ya Mourinho,..you will Never be EPL champions again!


Halafu hawa jamaa nawashangaa sana,siku Arsenal wanacheza utwaona kutwa nzima wako kwenye jukwaa letu wanaongea saaaaaaaaaana..Lakini siku Chelsea wanacheza na wamebanwa,hawaonekani...Tena kama Masanilo ndo anatokomea kabisa...Yuko so obsessed na The Gunners....hahaaaaaaaaaaaaaaaaa....Kweli Ligi ya mwaka huu tamu.....Na mbado,Liverpool wanawasubiri....lol....Mpemba upo???????????,
 
Hahahahahah nimeangalia mechi kipindi cha kwanza tu! dalili zote zilikuwa wazi tunachapwa! Man City chali teh teh teh bado tunagame na Liverfool lohhh hongereni sana Tottenham .....we will bounce back!
 
Hahahahahah nimeangalia mechi kipindi cha kwanza tu! dalili zote zilikuwa wazi tunachapwa! Man City chali teh teh teh bado tunagame na Liverfool lohhh hongereni sana Tottenham .....we will bounce back!
Chelsea ubingwa upo hati hati,lazima washinde gem ya Stoke. any result even droo kombe kushnehi, Spurs sijui kama watatoka OT, kwa difference ya one point Man U, bora afe Rooney. Baada ya gem hiyo Man U atabaki na gem mchekea while Chelsea atabaki na Pool. Mashabaki wa Chelsea waendelee kuiombea Man U mabaya achapwe au droo na Spurs.

Karata yangu naituma kwa Man U.
 
Wacha kwa kuiga umo!

Tumepigwa bao hakuna vijisababu au visingizio!


Welcome back to mother earth. What few days can make. Blame on this one:

CCFEB6F36819CE9EE7CC60A4AB97.jpg


These referees should have used a train ... .... khe khe kheeeeeeeeeeee
 
Q: What is the difference between a battery and a Chelsea fan?
A: A battery has a positive side.

1. Four surgeons are taking a coffee break:
1st surgeon says “Accountants are the best to operate on because when you open them up, everything inside is numbered.”
2nd surgeon says “Nah, Librarians are the best. Everything inside them is in alphabetical order.”
3rd surgeon says “Try Electricians, man! Everything inside them is colour coded.”
4th surgeon says “I prefer Chelsea fans. They’re Heartless, Spineless, Gutless, Brainless and their Heads and Arse’s are interchangeable

Need I say more? ... ....
 
View attachment 9530
Halafu hawa jamaa nawashangaa sana,siku Arsenal wanacheza utwaona kutwa nzima wako kwenye jukwaa letu wanaongea saaaaaaaaaana..Lakini siku Chelsea wanacheza na wamebanwa,hawaonekani...Tena kama Masanilo ndo anatokomea kabisa...Yuko so obsessed na The Gunners....hahaaaaaaaaaaaaaaaaa....Kweli Ligi ya mwaka huu tamu.....Na mbado,Liverpool wanawasubiri....lol....Mpemba upo???????????,

View attachment 9529

Niko Obsessed na vitu kama hivi bana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom