Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Half time Liverpool 0 Chelsea 1
Liverfool wanatia huruma wajameni..
wanatia huruma as alwayzLiverfool wanatia huruma wajameni..
Raha sana kushinda... LoLLiverpool 0 Chelsea 2....Lampard...Nilikwambia Invisible...Mnashinda
Half time Liverpool 0 Chelsea 1
geraard si alikuwa anajidai kuwa watashinda, sasa matokeo nidyo hayo. i love my boyz in blu kwana hawana mashauzi. mambo yako ni kimya kimya tu am so happy today.liverpool washauza game hao .gerrard na uhodari wake wote unatoa back pass mbovu kama ile .kwakweli hawawanaona bora wamaliza ligi nafasi ya kumi kuliko kuona manu united wanakuwa mabingwa .oh my god goli lapili hilo .
we acha atu naenda kuchinja kambusi leo, since am a chaggaRaha sana kushinda... LoL
Leo Chelsea watafanya kweli au Liverpool ndio wanazipoteza ndoto za ubingwa?