Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa sasa timu zenye hali ya kugombea ubingwa ni chelsea liver na arsenal man city au man u hawapo kabisa so usijichoshe kifupi man u ata kwenye top four hatakuepo

ktk forum kama hizi mtu anaandika kidogo tu..ni jukumu la msomaji kutafakari alichoandika mtoa post kupata ujumbe wake!!tukianza kufafanua weeeeee itakuwa tunaandika makala humu!!nimeitaja man u kwa vile imeonyesha consistence ya ushindi ambayo ndio inayohitajika kumpata chelsea..na nikaweka bayana man utd tatizo ipo mbali sana!!hao uliowataja wanaomkimbiza chelsea hawana consistence sio tu wakati huu bali hata rekodi zao za miaka ya karibuni ni team kama zenye homa za vipindi!!Uingereza ni timu 2 tu zenye uwezo wa kukukumbiza kimyakimya ukizubaa unaliwa nazo ni Man Utd na Chelsea.

ukihitaji ufafanuzi zaidi sitasita kukupa mpaka uelewe nilichomaanisha
 
Mkuu mimi ni wa pale Emirates damu damu, leo tumemchapa mtu 2-0 Jumanne tunamchapa mwingine 3-0.
Mia mia haina noma pamoja. .
Leo nimeona mambo yenu ya Giroud katisha na bao lake.. , tulikuwa nawashkaji hapa tunajiuliza hivi hili bao na lile la jana la Costa lipi kali. .
BTW tunasubiri list ya mabao bora ya wk.. tuone. .
 
Goli la Costa Mkuu halioni ndani kwa hili la leo la Giroud hili litakuwa ni bao la mwaka na sidhani kama kutakuwa na goli zuri kama hili katika msimu huu, lakini kwenye football maajabu hutokea.

Mia mia haina noma pamoja. .
Leo nimeona mambo yenu ya Giroud katisha na bao lake.. , tulikuwa nawashkaji hapa tunajiuliza hivi hili bao na lile la jana la Costa lipi kali. .
BTW tunasubiri list ya mabao bora ya wk.. tuone. .
 
Mfumo waliotumia leo spurs naona umewaletea positive results , katika mechi yetu vs wao kweli hawawezi kumuacha wanyama peke yake lazima wawe wawili apo Kati na ndipo watakapofungwa vizuri ,,muhimu nahisi watachezea mpira sana ila ntafurahi Pedro aanze na partner wake wote hazard na costa alafu Kati wawe matic na Mkata umeme aka ngolo ...fab kimtazamo wangu hasianzee
 
Goli la Costa Mkuu halioni ndani kwa hili la leo la Giroud hili litakuwa ni bao la mwaka na sidhani kama kutakuwa na goli zuri kama hili katika msimu huu, lakini kwenye football maajabu hutokea.
Ila itategemea na categories watakavyoziweka, maana kama wataamua ku-categorise mabao ya kuyatafuta kwa mbinde huku akiwachambua na kuwakabili mabeki hadi kufunga, basi bao la Costa litapewa kipaumbele. .
 
Mfumo waliotumia leo spurs naona umewaletea positive results , katika mechi yetu vs wao kweli hawawezi kumuacha wanyama peke yake lazima wawe wawili apo Kati na ndipo watakapofungwa vizuri ,,muhimu nahisi watachezea mpira sana ila ntafurahi Pedro aanze na partner wake wote hazard na costa alafu Kati wawe matic na Mkata umeme aka ngolo ...fab kimtazamo wangu hasianzee
Hii game watu km Hazard na Pedro watawekewa Marking kubwa sn alafu ule upande wa Moses, Rose atakua anapanda sn na pia Walker ndio maana umeona leo Walker hakucheza kabisa ata sub hakuwepo na huyu Rose kacheza juu kabisa.... So pale kati watawekwa Wanyama na Dembele ndio maana ata leo Dembele kaanzia benchi. So tutegemee hali kua hivi.
 
Hii game watu km Hazard na Pedro watawekewa Marking kubwa sn alafu ule upande wa Moses, Rose atakua anapanda sn na pia Walker ndio maana umeona leo Walker hakucheza kabisa ata sub hakuwepo na huyu Rose kacheza juu kabisa.... So pale kati watawekwa Wanyama na Dembele ndio maana ata leo Dembele kaanzia benchi. So tutegemee hali kua hivi.
Uwezo wa kunyumbulikaa kwa hazard na Pedro itasaidia sana mkuu ,,advantage iliyopo dembele na wanyama watastick sana kulinda wakilazimisha kupanda apo ndo tunawala vizuri
 
Uwezo wa kunyumbulikaa kwa hazard na Pedro itasaidia sana mkuu ,,advantage iliyopo dembele na wanyama watastick sana kulinda wakilazimisha kupanda apo ndo tunawala vizuri
Mkuu Dembele na Wanyama watalazimisha kupanda mbele na Hazard na Pedro hawa hawatocheza mpira kwa raha.....


Yani hapa chelsea inatakiwa wadrive mipira na kupiga mipira ya kasi na pasi zao ziwe za uhakika kuingia ktk upande wa Spurs hapo ndio tutawaweza. Yani watumie uwezo wao binafsi...


Au Hazard na Pedro na Costa wakae ktk eneo la Spurs huko wasubiri mipira na jukumu la ukabaji lifanywe na Moses Alonso Matic Kante na ili back line 3 kwa nguvu sn na tucheze mipira mirefu kwenda kwa hao Hazard na Pedro na Costa.
 
ktk forum kama hizi mtu anaandika kidogo tu..ni jukumu la msomaji kutafakari alichoandika mtoa post kupata ujumbe wake!!tukianza kufafanua weeeeee itakuwa tunaandika makala humu!!nimeitaja man u kwa vile imeonyesha consistence ya ushindi ambayo ndio inayohitajika kumpata chelsea..na nikaweka bayana man utd tatizo ipo mbali sana!!hao uliowataja wanaomkimbiza chelsea hawana consistence sio tu wakati huu bali hata rekodi zao za miaka ya karibuni ni team kama zenye homa za vipindi!!Uingereza ni timu 2 tu zenye uwezo wa kukukumbiza kimyakimya ukizubaa unaliwa nazo ni Man Utd na Chelsea.

ukihitaji ufafanuzi zaidi sitasita kukupa mpaka uelewe nilichomaanisha
Thibitisha
 
Goli la Costa Mkuu halioni ndani kwa hili la leo la Giroud hili litakuwa ni bao la mwaka na sidhani kama kutakuwa na goli zuri kama hili katika msimu huu, lakini kwenye football maajabu hutokea.
Katika magoli bora ya mwaka angalia orodha youtube kama ujapiga volley au kumpeleka kipa anapotagia njiwa haupati tuzo hiyo alipaa van persie ka malaika goli bora likawa la james Rodriguez ,kwa watoa tuzo goli la kawaida kwenu mashabiki bora
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom