Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

kocha wa man city pep gurdiola baada ya kufungwa na liver jana ktk post match speech amesema kwa sasa ameacha kuongelea ubingwa akili yake imebaki kujidhatiti kubaki top 4
 
kocha wa man city pep gurdiola baada ya kufungwa na liver jana ktk post match speech amesema kwa sasa ameacha kuongelea ubingwa akili yake imebaki kujidhatiti kubaki top 4
 
Vipi mkuu mbona vicheko


Miaka km mitatu hivi iliyopita nilikua nina jukumu hilo la kujibu hoja uchwara zote ktk huu uzi wetu na Mentor ilikua kz yake ni kuleta picha tu....


Sasa taratibu naanza kuusogelea ubingwa watapata shida wakaanga sumu
Pamoja sana
 
Vipi mkuu mbona vicheko


Miaka km mitatu hivi iliyopita nilikua nina jukumu hilo la kujibu hoja uchwara zote ktk huu uzi wetu na Mentor ilikua kz yake ni kuleta picha tu....


Sasa taratibu naanza kuusogelea ubingwa watapata shida wakaanga sumu
ukiwa juu mara nyingi haters wanakuwa wengi ukichukilia hawakutegemea mapinduzi yaliyofanywa na chelsea
 
Wakuu naona Spurs leo waujaribia mfumo wao ili wakabiliane na chelsea vzr.

Leo wako na 3-1-4-2.


Wanyama ameshika dimba la ukabaji peke yake
 
Wakuu naona Spurs leo waujaribia mfumo wao ili wakabiliane na chelsea vzr.

Leo wako na 3-1-4-2.


Wanyama ameshika dimba la ukabaji peke yake
Unajua hawa Watford wanatumia mfumo kama wa Chelsea. Na anaweka hivyo ili kutumia zaidi ma-winger na kuitanua back three. Ila Spurs akija hivyo jumatano ataumia mapema sana.
 
Unajua hawa Watford wanatumia mfumo kama wa Chelsea. Na anaweka hivyo ili kutumia zaidi ma-winger na kuitanua back three. Ila Spurs akija hivyo jumatano ataumia mapema sana.
Nimeona ndio hawa Watford wanatumia huo mfumo.

Spurs lazima waje hivyo hivyo ila pale kati Wanyama hatosimama peke yake atasimama na Dembele.

Watafanya 3-2-3-1.
 
ngoja aendelee kuujaribu tu mwanaume atajulikana tu hiyo siku
Yeah nina hamu sn na hizi game kubwa za away ili nione namna tunavyofanya mambo....


Ktk game ya City nilijifunza mambo mengi sn sasa nataka kuona kwa Spurs na Lfc
 
Wakimuacha Wanyama mwenyewe lazima aelemewe, ila wanaweza fanya hivyo kuchukua tu risk ili wapate watu wengi mbele na washambulie kwa haraka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom