Mkuu Dembele na Wanyama watalazimisha kupanda mbele na Hazard na Pedro hawa hawatocheza mpira kwa raha.....
Yani hapa chelsea inatakiwa wadrive mipira na kupiga mipira ya kasi na pasi zao ziwe za uhakika kuingia ktk upande wa Spurs hapo ndio tutawaweza. Yani watumie uwezo wao binafsi...
Au Hazard na Pedro na Costa wakae ktk eneo la Spurs huko wasubiri mipira na jukumu la ukabaji lifanywe na Moses Alonso Matic Kante na ili back line 3 kwa nguvu sn na tucheze mipira mirefu kwenda kwa hao Hazard na Pedro na Costa.
Hatuwezi waogopa nyie hata siku moja, ila nyie ndo mnatuogopa refer comment za gerrad jana.Najua mnayaogopa sana MAJOGOO!Mmetushikia ubingwa wetu!January 31 nakupiga kama mtoto mdogo na kuwa points sawa na wewe sababu Spurs Jumatano anakupiga
Kwanza tarehe 15 OT unapigwa na Utd yani hilo ata uende ukacheze vipi lazima upigwe tuNajua mnayaogopa sana MAJOGOO!Mmetushikia ubingwa wetu!January 31 nakupiga kama mtoto mdogo na kuwa points sawa na wewe sababu Spurs Jumatano anakupiga
Katika game ambazo zitawapa morally basi mshinde hii mechi japo itakuwa ngumu sana. Sisi wengine bora mpoteze ili ubingwa uzidi kuwa open na league iwe tamu zaidiHii game watu km Hazard na Pedro watawekewa Marking kubwa sn alafu ule upande wa Moses, Rose atakua anapanda sn na pia Walker ndio maana umeona leo Walker hakucheza kabisa ata sub hakuwepo na huyu Rose kacheza juu kabisa.... So pale kati watawekwa Wanyama na Dembele ndio maana ata leo Dembele kaanzia benchi. So tutegemee hali kua hivi.
Ninacho kiona Dembele na Wanyama sizani km watatembea sn kwasababu Hazard na Pedro lazima wawekwe juu kabisa huko mbele yaani hawa wakijifanya kupanda tu wameumiaDembele na Wanyama watatembea sana siku hiyo na huku kuna Dele na Keane
Pembeni kuna beki wagumu sana wa Spurs na chaguo la kwanza England
Spurs 3 Chelsea 1
Kama hadi Crouch anafunga hawezi shindwa Keane
Swala la kupoteza halipo mkuu kwasababu tunajua wakati wa kua mabingwa ni sasa. So nothing to loseKatika game ambazo zitawapa morally basi mshinde hii mechi japo itakuwa ngumu sana. Sisi wengine bora mpoteze ili ubingwa uzidi kuwa open na league iwe tamu zaidi
Download Mobdro app. Utaona chanel zaidi 100 za ligi zote duniani.Msaada kupitia simu yangu naangalia mpira kupitia ustream lkn wanazingua jee pengine naweza kuangalia?sitaki dstv kama yupo anayeju aniambie.ni down loud
Download Mobdro app. Utaona chanel zaidi 100 za ligi zote duniani.
Beki za pembeni za SpursNinacho kiona Dembele na Wanyama sizani km watatembea sn kwasababu Hazard na Pedro lazima wawekwe juu kabisa huko mbele yaani hawa wakijifanya kupanda tu wameumia
Man U wana bahati mbayaKwanza tarehe 15 OT unapigwa na Utd yani hilo ata uende ukacheze vipi lazima upigwe tu
Chelsea ndio yenye beki na ukuta imara kabisa kwa Epl mpk sasa umeruhusu goli 13 tu sasa hao Spurs wamefungwa ngapi????Beki za pembeni za Spurs
Beki za kati Vertongen na Tobby
Ndiyo bora zaidi EPL na wanawaweza kabisa Chelsea
Chelsea akipata hata sare kwa Spurs basi wao ni mabingwa
Spurs 3 Chelsea 1
Sioni ubora au uzuri wa hao wachezaji wowote ule.... Hao ni wachezaji wa kawaida tu.....Man U wana bahati mbaya
Anaondoka Mane anakuja Coutihno
Sawa na kuondoa Gobole kupata SMG
Livepool 2 Man 0
Upo sahihi sana. Kumbuka spurs nao wanawatumia mabeki wa pembeni kama mawinga.(wingback) kutakuwa na kazi sana maana Chelsea ndio mfumo wao.Beki za pembeni za Spurs
Beki za kati Vertongen na Tobby
Ndiyo bora zaidi EPL na wanawaweza kabisa Chelsea
Chelsea akipata hata sare kwa Spurs basi wao ni mabingwa
Spurs 3 Chelsea 1
Hapa ni kucheza kwa nidhamu bila kufanya makosa kwa asilimia zote......Upo sahihi sana. Kumbuka spurs nao wanawatumia mabeki wa pembeni kama mawinga.(wingback) kutakuwa na kazi sana maana Chelsea ndio mfumo wao.
Danny Rose vs Marcos Alonso
Kaly Walker vs Victor Moses.
Kwenye dimba ni sheeder.
Kwa epl hamna kiungo shoka kama Dembele. Hapa akisimama na Wanyama kwenye kiungo cha kukaba hiyo shughuli ni noumer.
Hii game ni 50/50. Mwenye makosa ndio ataadhibiwa.
haha malafyaleBeki za pembeni za Spurs
Beki za kati Vertongen na Tobby
Ndiyo bora zaidi EPL na wanawaweza kabisa Chelsea
Chelsea akipata hata sare kwa Spurs basi wao ni mabingwa
Spurs 3 Chelsea 1
umedownload kupitia play store?Mbona mimi nimejaribu kudownload kwa kutumia iphone lakin inakataa...naomba msaada
hivi juzijuzi tulivyowafunga hao uliowataja walikuwa bado hawajawa bora?Beki za pembeni za Spurs
Beki za kati Vertongen na Tobby
Ndiyo bora zaidi EPL na wanawaweza kabisa Chelsea
Chelsea akipata hata sare kwa Spurs basi wao ni mabingwa
Spurs 3 Chelsea 1