Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huyu kante leo amechoma goli zote, najua ni mambo ya short break hayo j4 hatafanya hivyo najua so tutashindà, willian ameshaanza kuelewa namna ya kufanya movements ndani ya 3-4-3 so hiyo competetion ya namba ni tamu mno pedro vs willian onfire, huyu moses nae mungu anamuona
 
Screenshot_2017-01-01-08-06-44.jpg
Screenshot_2017-01-01-08-04-08.jpg
 
City hawakua na bahati km waliyokua nayo lfc lkn kwa jinsi lfc inavyocheza ifanye kz sn kushindana na hizi timu kubwa
Siku zote usiingie uwanjani kwa kutumia /kufikiria matokeo ya bahati.
Matokeo sometimes huamuliwa na mbinu za kimchezo
 
Nyakati za dhiki wanapotea
wako sahihi mara nyingi timu inapofanya vizuri huwa inapata uungwaji mkono mkubwa na mashabiki lakini inapofanya ovyo kama chelsea last season washabiki hukata tamaa hata uungwaji mkono hupungua kumbe kwa chelsea kuwa na washabiki wengi kwa sasa haishangazi kwani inafanya vizuri
 
Mkuu hebu mwambie bhanaaa,

Au tumuulize ktk timu zilipo Top Four ni timu ipi iliyomfunga Liverpool....??
Liverpool anakania timu kubwa siku zote toka miaka hiyo yeye yuko radhi kufungwa na watford lkn si city or Utd.
 
yaani mkuu hawa liverpool nilitegemea mechi ya everton na hii ya man city lakini hawajapoteza halfu useme wanabahatisha hilo nakataa kabisa mpira unabadilika hii liver ya sasa wamedhamiria
Mkuu kwa hii lfc sioni kupambana kwao sn huko mbele.... Tena kwa chelsea tukienda kwao wakipata sn ni sare.

Chelsea sasaivi imefikia kiwango kile tulichokua nacho wakati Mourinyo alipokuja mara ya kwanza
 
Liverpool anakania timu kubwa siku zote toka miaka hiyo yeye yuko radhi kufungwa na watford lkn si city or Utd.
mkuu liver ya sasa sidhani kama itapoteza kwa hizo timu ktk msimu huu zaidi ya mechi alizopoteza
 
Mkuu hebu mwambie bhanaaa,

Au tumuulize ktk timu zilipo Top Four ni timu ipi iliyomfunga Liverpool....??
Chelsea tulipoteza kwa lfc mapema sn wakati huo tulikua tunasuasua lkn kwa sasaivi sio rahisi kabisa.


Tarehe 4 tunaanza na Spurs, najua Spurs atataka kutawala mpira muda wote hapo ndio tutamfunga vibaya sn.

Chelsea ni timu inayocheza kwa nidhamu ya hali ya juu sn kwa dk zote sasa tulizeni ball muone hiyo j5
 
Chelsea tulipoteza kwa lfc mapema sn wakati huo tulikua tunasuasua lkn kwa sasaivi sio rahisi kabisa.


Tarehe 4 tunaanza na Spurs, najua Spurs atataka kutawala mpira muda wote hapo ndio tutamfunga vibaya sn.

Chelsea ni timu inayocheza kwa nidhamu ya hali ya juu sn kwa dk zote sasa tulizeni ball muone hiyo j5
mkuu ombi letu yote yafanikiwe
 
mkuu ombi letu yote yafanikiwe
Hilo ndio kubwa mkuu lkn napenda kukwambia hivi sasaivi chelsea ata ikipata sare basi utakua ni msiba mkubwa hiyo ni sare tu.


Unaweza kuona hiyo hali ata kwa wachezaji. Jana Willian alivyofunga goli la tatu tu alilia machozi hii inatokana na uchungu wa timu wachezaji walionao na namna ya umoja na malengo waliyopanga sasa kukitokea shida kidogo inakua balaa.


Sasaivi umefika wakati wa mashabiki wa chelsea kutembea kifua mbele bila kuhofia timu yoyote.

Tarehe 4 tunamaliza kz na Spurs naijua nguvu yao sn hawa Spurs na namna watakavyocheza lkn tutaenda kwa nidhamu ile ile na malengo yale yale. Na baada ya hiyo game tukimpiga Spurs basi wao wenyewe wataanza kusema sisi ni mabingwa maana ndio wamebaki kusubiri ili waone chelsea itasimamishwa na Spurs kitu ambacho hakitotokea
 
Daa mazee nawazia io spurs tu, ivi tutatoka kweli?? Maake jamaa mtata sana hasa akiwa kwao ..bado clop wa liver nae anatuchimba bitii na maneno ake; alafu ksho yuko na Sunderland. Point tatu izo ksho znakatiwa chinn uuwiii Mungu saidia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom