Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

hao jamaa ni watata sana hasa wakiwa nyumbani pia hiyo mechi ni derby droo itakuwa vyema kwa chelsea
Itakuwa ngumu ndio ila ushindi ndio wazo la kwanza. Spurs ni moja ya timu iliyokuwa ngumu sana kwetu katika mzunguko wa kwanza japo tulishinda.

Yatupasa kucheza kwa kujilinda sana (ila sio kupaki basi), na kushambulia kwa nguvu sana. Tukifanya hivyo tutashinda tu sioni beki wa kuwakamata wachezaji wetu mechi nzima pale.
 
Na hapo kwenye kufunguka kwa liver ndipo kulipo kaburi lao mkuu.

Guardiola akijipanga vizuri ana possibility kubwa ya kushinda kiliko Klopp.

Klopp hana alternatives nyingi hasa kule mbele. Ila Guardiola ana wachezaji wengi wenye uwezo tofauti tofauti kule mbele. Kwa game ya kesho...dont write them off nakuambia.
Nazani mpaka hapo ulipo kwa haya matokeo ya Man City na Liverpool umeshaona tofauti na maneno yako
 
uzuri wa timu zote nimarisk taker yaani hawajali kufungwa wenyewe wanachoamini funga goli kadri uwezavyo adui yako atakata tamaa.
Hivyo basi kwangu liver kwa open football ya namna hiyo nampa nafasi na hili linajidhirisha kwani ndiyo timu iliyofunga goli nyingi kuliko timu zote
Ndio maana nikasema kuwa Guardiola akikutana na timu yenye mnyambuliko wa wachezaji wanaowaza kushambulia kuliko kujilinda basi Guardiola atachemka tuu.

Kwa Man City hii ya hawa vibabu wapiga chuma itachemka tuu
 
liver si wakali kiivyo kulinganisha na timu zilizo nyuma yake au unamaanisha nini?
Unaposema liver si wakali bila shaka hata timu zilizonyuma ya liver si wakali kiivyo hapo ndipo liver anapopata advantage kuwaongoza.
Mkuu, yani watu wengine kama hawa wanashangaza sana, sijui itakuwa viroba....!!!
 
Liverpool imeshinda lkn ni kwa bahati tu. City walitawala kila kitu na kwa huu uchezaji wa Liverpool sizani ktk second round atazifunga timu kubwa.


Ngoja tutamuona tena Liverpool na Utd tarehe 15 OT
Ina maana hata Chelsea alimshinda Man City kwa bahati
 
1969.jpg

Chelsea’s Willian celebrates scoring his first goal against Stoke.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom