chelsea wamepaniki hii game, wanaona kama vile ubingwa ndo basi....leo refa limeamua kwamba hakuna kubebwa kijinga jinga .ndio ndio refa mpe kadi nyekundu masanilo na peasant nao popote walipo.
matatizo ya kuzoea kubebwa na marefa.
Tuliwaambia bila mpunga hii Chelsick kwishnei. Mafia to the core No fweza no winning khe khe khe taliban supporter yuko wapi na mambo yalivyojiri. Peasant leo kenda kulima hamuwezi kumuona Masanilo aka Kikojozi tololo khe khekh e ngoja tusubiri maana wako Invisible sana.
Hesabuni hapo nyuma mechi zao za utata ni ngapi ndio mtafahamu hawa pensioner si chochote si lolote.
Chelsea pensioners get manager Carlo Ancelotti's vote of confidence
kweli ukiona mwenzako ana nyolewa na wewe tia maji kichwa chako ha ha ha. neeeeeeeext man united .
kweli ukiona mwenzako ana nyolewa na wewe tia maji kichwa chako ha ha ha. neeeeeeeext man united .
Syestem upgrade itakuja soon.
dah! spurs noma, yaani katika mechi 2 ngumu (Arsenal&Chelsea) wametoka na point 6. Tusubiri hiyo na Man Utd ila najua lazima walale, maana wanatujua vizuri. Huwa wanatangulia kwa goli 2 hata 3 halafu tunawakuta na kuwaongeza. Huwa hatufuti historia.
Matokeo ya leo yanamaanisha
(3) Spurs wanataka nafasi ya 3
Syestem upgrade itakuja soon.
Mtani hawa watoto wa spurs tunawachapa wiki ijayo, yani hakitoeleweka kabisa. Chelsea kwa Man Citeh hatoki...
Syestem upgrade itakuja soon.