Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kumbe hata hufahamu The Sun ni kina nani au ni nini? Hilo ni mojawapo ya tabloids ambazo zinamilikiwa katika kundi moja na Sky Sports - Majabali wa sports, News of the world nk. wanakula sahani moja na mashirika yote makubwa duniani kwa habari i.e. BBC, CNN, CBS etc. You gotta a lotta to learn!

kaka wapi nimekwambia sijui THE SUN nini??Usianzishe ligi ingine,hunijui sikujui,hujui nimeanza kusoma lini the sun kaka,FYI kazini kila mtu ananijua as MR THE SUNaka MR PAGE 3,coz kila nikiingia kazini THE SUN liko mkononi,i've got a lot to learn but not WHAT THE SUN IS!
 
man u are not good enought to beat city at home - bellamy, adebayor and teves are in top form at a moment.

tonteham are not good enought to beat chelseafc

sor far so good for chelseafc - the double will be good enought this season.

Sorry for man u, arsenal and liverpool fun's for last week bad results - congraturation m-city to break into top four.

Wenger prove to us that " football is not all about money"

kweli mkuu umepatia sana hapo.....
 
hawa spurs wanafurahisha sana, wamewakamata jamaa ile mbaya, chelsea wakitoka hapa ni kwasababu tu ukubwa dawa, vinginevyo wanalala kwa 3 au 4 kwa 1.
 
leo chelsea hawatoki mmmmh
hawa spurs wanafurahisha sana, wamewakamata jamaa ile mbaya, chelsea wakitoka hapa ni kwasababu tu ukubwa dawa, vinginevyo wanalala kwa 3 au 4 kwa 1.
 
...😀 sijui nicheke au bado tu nivumilie???, mnh! ...'Kilio cha wengi harusi!' GADEMU wallahi hawa Spurs!!!!
 
Chelsea wameshachanganyikiwa, jamaa amefanya sub za kutosha na Drogba mambo yanamuwia vibaya. Kazi ipo. By the way, Arsenal wanaweza kurudi kwenye kinyang'anyiro cha ubingwa.
 
Chelsea wameshachanganyikiwa, jamaa amefanya sub za kutosha na Drogba mambo yanamuwia vibaya. Kazi ipo. By the way, Arsenal wanaweza kurudi kwenye kinyang'anyiro cha ubingwa.

aha ha ha... acha tu! kwa huyu Acheni-Lote..lolote linawezekana. Sijasahau kwenye fainali ya Champions league AC Milan ilikuwa inaongoza 3-0, Liverpool wakasawazisha na kuwafunga vile vile...Abdulhalim unakumbuka?

Anyway, tusubiri dkk ya 90!!!
 
leo refa limeamua kwamba hakuna kubebwa kijinga jinga .ndio ndio refa mpe kadi nyekundu masanilo na peasant nao popote walipo.Pape wewe kadi ya njano kwa vile unajua fair play ha ha ha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom