Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,334
- 23,940
Ni kweli yani January ikiisha na gumewafunga wote hao basi ubingwa ni wetu...wapende wasipende...January!Tarehe 4 tuko Ktk machinjio ya Spurs. Tukitoka hapo tutakwenda kwao Leicester alafu tarehe 31 tutakua kwao LFC na tarehe 4 feb gunners watakuja kwetu. Hizi timu kubwa tukizifunga basi Ktk hii hii january tunajihakikishia ubingwa
Nashukuru nitakuwa nimetoka huku porini maana streaming mara nyingi huwa inagoma kama leo nimeambulia goli la tatu tu, huko kwingine ilikuwa ina stuck vibaya!!
Cant wait for the new year...