Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

January kuna game ngumu sana Tottenham,Hull ,Liverpool,Arsenal


One game at a time brother...tuombe uzima wa wachezaji manna come January wale wote wenye kadi 4 za njano zinaongezeka kuwa 10. So full squad itakuwepo...tuombe uzima tu mkuu!

Huwa hakuna mkate mgumu mbele ya chai...na siku zote shimo la panya halizibwi kwa mkate...WALETE!!!!
 
Bravo Chelsea.

Timu bado ina miss wafungaji wa magoli ya mbali kama Lampard, tangu tucheze na Man city sasa hivu timu zimegundua zinakaba sana kwenye eneo lao, yani unakuta Chelsea ina attack halaf unakuta wachezaji kama 8 hivi wakizuia nashambuluzi na ndio maana kwa sasa magoli ya Chelsea yanafungwa kwa counter attack..

Tungepata wapigaji wa shoots kama alivyokuwa Lampard, Ballack au Essien tungekua na uhakika wa ushindi wa goli nyingi zaidi
 
Bravo Chelsea.

Timu bado ina miss wafungaji wa magoli ya mbali kama Lampard, tangu tucheze na Man city sasa hivu timu zimegundua zinakaba sana kwenye eneo lao, yani unakuta Chelsea ina attack halaf unakuta wachezaji kama 8 hivi wakizuia nashambuluzi na ndio maana kwa sasa magoli ya Chelsea yanafungwa kwa counter attack..

Tungepata wapigaji wa shoots kama alivyokuwa Lampard, Ballack au Essien tungekua na uhakika wa ushindi wa goli nyingi zaidi
 
Nafikiri mfumo nao unachangiaTE="Student Teacher, post: 18920091, member: 249242"]Bravo Chelsea.

Timu bado ina miss wafungaji wa magoli ya mbali kama Lampard, tangu tucheze na Man city sasa hivu timu zimegundua zinakaba sana kwenye eneo lao, yani unakuta Chelsea ina attack halaf unakuta wachezaji kama 8 hivi wakizuia nashambuluzi na ndio maana kwa sasa magoli ya Chelsea yanafungwa kwa counter attack..

Tungepata wapigaji wa shoots kama alivyokuwa Lampard, Ballack au Essien tungekua na uhakika wa ushindi wa goli nyingi zaidi[/QUOTE]
Nafi
 
7e2bbc2448a9c7881b0cbfd136810146.jpg

Since chelsea changed to 3:4:3
 
Mkuu fabregas hawezi kukaba kama Matic, fab ni mzuri kwenye pass za mwisho tu, so utapiga pass za mwisho huku umefungwa???? Ndo maana "taylor-conte" anamuamini Matic over fabregas.
kwan lazima fab sab yake awe matic?! nilishasemaga hapa kw nn asipangwe anapocheza pedro watu wakasema haiwezekan sijui pedro anatokea kulia kidogo, sijui nn" jana kapangwa position hiyo mbona kacheza vizuri........... tena yy ni mzuri anakaba kuliko pedro au willian.
 
Bravo Chelsea.

Timu bado ina miss wafungaji wa magoli ya mbali kama Lampard, tangu tucheze na Man city sasa hivu timu zimegundua zinakaba sana kwenye eneo lao, yani unakuta Chelsea ina attack halaf unakuta wachezaji kama 8 hivi wakizuia nashambuluzi na ndio maana kwa sasa magoli ya Chelsea yanafungwa kwa counter attack..

Tungepata wapigaji wa shoots kama alivyokuwa Lampard, Ballack au Essien tungekua na uhakika wa ushindi wa goli nyingi zaidi

Kaka mpira huwa unabadirika na aina ya kocha, Mourinho alikuwa na aina yake ya wachezaji na aina ya uchezaji ambao uko tofauti sana na Chelsea ya Conte,

Conte kaibadirisha sana Chelsea na Chelsea kwa sasa ni timu ya kufunga goli zaidi ya moja, Man alichapwa nne, Evaton akala za kutosha, Shida kubwa ya sasa kwa Chelsea ni kukamiwa na kubanwa sana, timu yoyote inayocheza na Chelsea hata kama ikiwa nyumbani cha kwanza wanachokifanya ni kupanga beki za kuwazuia wacheazji wa Chelsea wasifunge, pili wanajitahidi sana kuweka watu wengi kati ili kuivunja Chelsea nguvu, so kila timu inatafuta sare kwa Chelsea wala sio ushindi

Ubora wa Chelsea upo kama timu na pia ubora wa mchezaji mmojammoja na hicho ndio kinaifanya Chelsea kupata hivyo vigoli kimoja kimoja, otherwise timu nyingine sema Man U, Gunners wasingeweza kufunga hata goli moja

Siku Chelsea ikicheza na timu inayofunguka, basi hapo utaenjoy wingi wa magoli
 
kwan lazima fab sab yake awe matic?! nilishasemaga hapa kw nn asipangwe anapocheza pedro watu wakasema haiwezekan sijui pedro anatokea kulia kidogo, sijui nn" jana kapangwa position hiyo mbona kacheza vizuri........... tena yy ni mzuri anakaba kuliko pedro au willian.
jana alipoingia Fabregas formation ilibadilika ikawa 3:5:2
 
Ila trend yenu ya magoli imeshuka so mjichunge sana msije mkadrop ..... kuna ambao wanakuja huko juu km moto wa kifuu.
Mpaka sasa wanaotufuatia tumewaacha kwa point 9, nina imani ubingwa ni wa Chelsea msimu huu. Leo Arsenal na ManCity wanauana wenyewe na kesho Liverpool anakufa mbele ya Everton. Man United amekuwa joka la kibisa, hana sumu.

Nikiwa kama shabiki wa Chelsea, mechi niliyoiogopa ilikuwa ni tulipocheza na City na Tottenham, lakini tulipowakalisha hao, basi nikajua sasa hakuna wa kutuzuia.
 
Mpaka sasa wanaotufuatia tumewaacha kwa point 9, nina imani ubingwa ni wa Chelsea msimu huu. Leo Arsenal na ManCity wanauana wenyewe na kesho Liverpool anakufa mbele ya Everton. Man United amekuwa joka la kibisa, hana sumu.

Nikiwa kama shabiki wa Chelsea, mechi niliyoiogopa ilikuwa ni tulipocheza na City na Tottenham, lakini tulipowakalisha hao, basi nikajua sasa hakuna wa kutuzuia.
Weka akiba ya maneno, bado ni mapema sana kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa epl
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom