Mkuu fabregas hawezi kukaba kama Matic, fab ni mzuri kwenye pass za mwisho tu, so utapiga pass za mwisho huku umefungwa???? Ndo maana "taylor-conte" anamuamini Matic over fabregas.nitaanza kumwelewa conte atakapoanza kumpanga fabripass 90min.
[HASHTAG]#FreeMaxenceMelo[/HASHTAG]























Ila ile ya Alonso ni Nouma! Ilikua ndani!Tumepiga 6 shots on target leo tukapata goli moja tu, mechi ya man city tulipiga only 4 shots on target tukafunga goli 3,,
Just Mind the Gap kabla hujaongea sana
Ngumu ni hull city tutashinda moja hao wengine wanajua nini kinawatokeaJanuary kuna game ngumu sana Tottenham,Hull ,Liverpool,Arsenal
Maneno yako yawe ya kheri@EverlinkAhhhhhh sasa hiZi sifa kila siku mnashinda tu hamuoni aibu....... hahahhahahah hongereni sana bandugu mko njema mkikaza hivi kombe hiloooo.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()