Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hofu yangu sio kutokuwepo ngolo kante katika match na bournamouth bali mtu atakaechukua nafasi ya costa
Batshuay haaminiki kabisa kwa sababu ya kukalia sana bench
Sijui conte atambadilisha vipi mich maana mwenyewe hana furaha sababu ya kuwekwa sana bench
Kwa ngolo sina shaka fabrigas ataziba vizuri na matic lakini hofu yangu ni mtu anamrithi diego costa
Lakini ngoja tutaona atafanya nini conte na mich batshuay
Hapo matic na fabry watacheza kati hazard,William watakuwa nyuma ya Pedro na batshy ataingia kama sub tuondoe hofu kama conte atapita humu.na angalia city anashinda bila ya mshambuliaji natural ,arsenal wamepata matokeo mazuri pasipo mshambuliaji natural Pedro anaweza kazi huyo
 
Nafikiri mfumo nao unachangiaTE="Student Teacher, post: 18920091, member: 249242"]Bravo Chelsea.

Timu bado ina miss wafungaji wa magoli ya mbali kama Lampard, tangu tucheze na Man city sasa hivu timu zimegundua zinakaba sana kwenye eneo lao, yani unakuta Chelsea ina attack halaf unakuta wachezaji kama 8 hivi wakizuia nashambuluzi na ndio maana kwa sasa magoli ya Chelsea yanafungwa kwa counter attack..

Tungepata wapigaji wa shoots kama alivyokuwa Lampard, Ballack au Essien tungekua na uhakika wa ushindi wa goli nyingi zaidi
Nafi[/QUOTE]
Essien alifunga magoli mangapi Chelsea? Sijui kama yalifika 10.

Tunahitaji wingers wajitume zaidi...kina Hazard na wenzake!
 
Hapo matic na fabry watacheza kati hazard,William watakuwa nyuma ya Pedro na batshy ataingia kama sub tuondoe hofu kama conte atapita humu.na angalia city anashinda bila ya mshambuliaji natural ,arsenal wamepata matokeo mazuri pasipo mshambuliaji natural Pedro anaweza kazi huyo
Nami nilitaka niseme hivi hivi...pedro atacheza kama false 9.
 
Wakuu hebu tulieni bandugu Conte anajua nini afanye wakuu......

Batshuayi ni mzuri tena sn ndio maana yuko hapo.... Lkn pia hatutegemei mfungaji awe mmoja tu....
 
Kiukweli kuna baadhi ya wachezaji wakiumia au kuwa na kadi itatugarimu
Wachezaji hao ni aspilicueta huyu sijui mbadala atakuwa nani maana hatuna mtu mwenye uzoefu pale kama ilivyo aspilicueta
Mwingine ni alonso huyu jamaa ana uwezo mkubwa mno wa kupanda na kushuka sijui akiumia au akapata kadi ni yupi mzoefu atakaechukua nafasi yake ndio maana nilisema team inahitaji beki mmoja mshambuliaji wa kiwango cha juu na kiungo wa kati mmoja ili team isiyumbe hii ni kazi ya conte january
 
Wiki moja inatosha sana kumjengea confidence Batshuay na ku-perform vizuri! Uzuri mwingine ni kwamba mechi ambazo Diego hakufunga walifunga wengine.
Ni kweli wengine walifunga lakini angalia kuna siku hawatafunga na match itahitaji mshambuliaji mmoja atakaeamua matokeo kwenye match ngumu mfano ni dhidi ya westbromwich na crystal palace hizi match kwa aina ya mpira uliokuwa ukichezwa kama tusingekuwa na mtu anaelazimisha kufunga kwa kulalia mabeki zilikuwa zinaisha kwa sare ya bila magoli
So umuhimu wa kuwa na striker anaeijua kazi yake ni vizuri kuliko kuwategemea wengine warembe kwanza ndio wakufungie magoli tutakufa kwa presha
 
Kiukweli kuna baadhi ya wachezaji wakiumia au kuwa na kadi itatugarimu
Wachezaji hao ni aspilicueta huyu sijui mbadala atakuwa nani maana hatuna mtu mwenye uzoefu pale kama ilivyo aspilicueta
Mwingine ni alonso huyu jamaa ana uwezo mkubwa mno wa kupanda na kushuka sijui akiumia au akapata kadi ni yupi mzoefu atakaechukua nafasi yake ndio maana nilisema team inahitaji beki mmoja mshambuliaji wa kiwango cha juu na kiungo wa kati mmoja ili team isiyumbe hii ni kazi ya conte january
eden kimari mdau wangu nilimsoma yule kocha wa westbrom au crstal palace alisema kwamba mfumo anaoutumia chelsea siyo mgeni kwake kwani ameutumia mara nyingi hata kabla ya conte kuja epl. Anasema mfumo huo haujampa mafanikio kama alioupata conte.
Yeye anasema kwamba mafanikio makubwa kwa chelsea yamesababishwa na baadhi ya wachezaji ambao ni wa muhimu sana kwa chelsea kuwa ktk form nzuri tofauti na msimu uliopita.
Hivyo ukosefu wa baadhi ya wachezaji ambao ni muhimu kwa timu ni tatizo na hasa refer mechi tuliofungwa na westham ni mambo ya kubadilisha timu ingawa kocha alisema kufungwa kwa chelsea ktk mechi ile ilikuwa bahati mbaya kwani timu ilipata nafasi nyingi ila kuconvert kuwa magoli ndiyo shida ilikuwepo
 
Kiukweli kuna baadhi ya wachezaji wakiumia au kuwa na kadi itatugarimu
Wachezaji hao ni aspilicueta huyu sijui mbadala atakuwa nani maana hatuna mtu mwenye uzoefu pale kama ilivyo aspilicueta
Mwingine ni alonso huyu jamaa ana uwezo mkubwa mno wa kupanda na kushuka sijui akiumia au akapata kadi ni yupi mzoefu atakaechukua nafasi yake ndio maana nilisema team inahitaji beki mmoja mshambuliaji wa kiwango cha juu na kiungo wa kati mmoja ili team isiyumbe hii ni kazi ya conte january
 
Kiukweli kuna baadhi ya wachezaji wakiumia au kuwa na kadi itatugarimu
Wachezaji hao ni aspilicueta huyu sijui mbadala atakuwa nani maana hatuna mtu mwenye uzoefu pale kama ilivyo aspilicueta
Mwingine ni alonso huyu jamaa ana uwezo mkubwa mno wa kupanda na kushuka sijui akiumia au akapata kadi ni yupi mzoefu atakaechukua nafasi yake ndio maana nilisema team inahitaji beki mmoja mshambuliaji wa kiwango cha juu na kiungo wa kati mmoja ili team isiyumbe hii ni kazi ya conte january
Unakumbuka kuna game moja tulikwenda Kwa LFC mabeki wazoefu kina terry Na baadhi ya viungo Wa kati walikua majeruhi ikabidi acheze dogo mmoja anaitwa Thomas Kalas? Unakumbumbuka vzr Suarez alivyowekwa mfukoni Na huyo dogo? Dogo alicheza vzr sn mpk kesho ninamlaumu Jose Mourinho kwanini alimtoa Kwa mkopo?

Kwa kawaida first 11 hua ni selection ya kocha tu lkn team km team lazima ijengwe Na wachezaji Zaidi ya 20. Na hao ambao hawapangwi Mara Kwa Mara siku wakipata nafasi kucheza lazima wathibigishe ubora wao kwamba kwanini wako hapo km team Na wanapokea mshahara.....

Ktk mabeki chelsea wako Na Luiz, Cahill, Azpilicueta, Alonso, Moses, Ivanovic, Zouma, Ola Aina Na babu Terry. Tuna mabeki 9. Na kuna wageni wanaweza kucheza karibu sehemu zote za hapo nyuma.

Kwa mfano Azpilicueta, huyu anacheza beki za pembeni zote. Km Alonso anaumia Basi huyu ni kuswitch tu. Km Azpilicueta anaumia Basi Ivanovic atasimama sehemu Yake ya kati au Kurt Zouma Na Moses atabaki full back right. Kumbuka huyu Zouma ni full back right mzuri sn. Pia tuko Na ola Aina huyu ni CB Na full back right. Kwa muktadha huu hakuna shaka kabisa ata tukipata majeruhi
 
Ni kweli wengine walifunga lakini angalia kuna siku hawatafunga na match itahitaji mshambuliaji mmoja atakaeamua matokeo kwenye match ngumu mfano ni dhidi ya westbromwich na crystal palace hizi match kwa aina ya mpira uliokuwa ukichezwa kama tusingekuwa na mtu anaelazimisha kufunga kwa kulalia mabeki zilikuwa zinaisha kwa sare ya bila magoli
So umuhimu wa kuwa na striker anaeijua kazi yake ni vizuri kuliko kuwategemea wengine warembe kwanza ndio wakufungie magoli tutakufa kwa presha
ila kwa sasa mkuu ngoja imani tumpe bashuai hakuna jinsi ili mchukue ubingwa ni lazima uvuke mabonde na milima kumbuka msimu huu huu tuliwahi shika nafasi ya 8 hapo anayeongoza akitushinda point 8 hivyo uvumilivu unahitajika sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom