ndiyo kipindi ambacho kijana naye aonyeshe maujuzi nadhani atafanya vizuriDuh Costa noma, ila mechi ijayo tutamkosa, Batshuayi ataweza kazi ya Diego
Conte anamwambia costa "leo utakunywa bia tena"![]()
Before celebrating with boss Antonio Conte

Conte anamwambia costa "leo utakunywa bia tena"![]()
![]()
![]()
Leo atapata mbiliConte anamwambia costa "leo utakunywa bia tena"![]()
![]()
![]()
Ndo maana ya kusajili wachezaji zaidi ya 20... vembe ni ule ule wa ushindi hata kama kwa taabuDuh Costa noma, ila mechi ijayo tutamkosa, Batshuayi ataweza kazi ya Diego
Vp mkuu!! Tb JoshuaTb joshua kanihakikishia leo hamshindi
kafanya yake

1.fabrigace anazidi kutegemewa kila siku kadri msimu unavyoendelea na hakika kila anapoingia anafanya kazi murua leo ameingia akatuliza timu yetu maana tulikuwa tunahangaika pia ameanzisha movement nyingi za kutengeneza magoliwadau mlioiona mechi kwa ukaribu tunaomba uchambuzi wenu
[HASHTAG]#free[/HASHTAG] max melo

Tb joshua leo inaonekana aligeuza matokeoVp mkuu!! Tb Joshua![]()
![]()
![]()
kafanya yake
![]()
![]()
![]()
![]()