BekaNurdin
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 2,267
- 2,044
Yaani huyu baba asije akakatisha furaha yetu kwa kufanya mabadiliko yasiyo na tija! Mungu amsaidie kufanya maamuzi sahihi na mema!kati ya hao hamna atayepumzishwa,hao ndiyo moyo wa chelsea
Wana Chelsea tuungane kuimba wimbo huu!
Chelsea ushindi ushindi
Conte ushindi ushindi
Wengine hoi hoi x 2
Arse8 hoi hoi ,
Man U hoi hoi
Man City hoi hoi
Livafool hoi hoi
Spaz hoi hoi
Wengine hoi hoi x 2
Chelsea ni ushindi tuuuuuu!!!