ENZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,248
- 1,745
usisahau kurudi baada ya dk. 90.......Crystal Palace 1-0 Chelsea fc
usisahau kurudi baada ya dk. 90.......Crystal Palace 1-0 Chelsea fc
Yes ndo naingia eneo la tukio hapa, tutakuwa sawa dakika kwa dakika usjaliusisahau kurudi baada ya dk. 90.......
Kwani huyu binadam Tb Joshua ameshika nafasi ya Mwenyezi Mungu? Basi kwa idhni ya Mwenyezi Mungu Chelsea watashinda in shaaa Allaah!!!Tb joshua kanihakikishia leo hamshindi
Kwani huyu binadam Tb Joshua ameshika nafasi ya Mwenyezi Mungu? Basi kwa idhni ya Mwenyezi Mungu Chelsea watashinda in shaaa Allaah!!!
vip huyo zaha bado anafanya yake?![]()
![]()
![]()
![]()
Bosi hujaona zaha anacho taka kufanya apo kuwa makini!
Kinyume chakeCrystal Palace 1-0 Chelsea fc