Mkuu huyo mikel obi ni mzito kama mjamzito, natamani wampige bei hata jana, kama vipi akacheze china tu, au kwa wazee waliokata ringi marekani.Ndio maana anatakiwa awe DM tu na pacha wake awe huru kukimbia huko Na huko lkn yeye abaki km DM tu na akifanya hivyo atafanya vzr....
Ndio maana anatakiwa awe DM tu na pacha wake awe huru kukimbia huko Na huko lkn yeye abaki km DM tu na akifanya hivyo atafanya vzr....