Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ila tutegemee mchezo kua mgumu sn kwasababu hawa Sunderland ndio wanaburuza mkia sasa wako Na hali mbaya sn na wao ili waokoke huko chini lazima waanze kupambana kufa Na kupona Na uzuri Conte Na benchi LA ufundi wanaijua hii hali vzr sn......
Kilichowafanya kuwa chini ni vichapo tu kwahivyo ni wakati wetu nasi kuendeleza kichapo.

Kila mechi ni fainal....!
 
Chelsea have fined £100,000 for mass brawl, during the game with mancity. And mancity fined £35,000 for failing controlling his players.
 
Tumeamua kwa dhati kabisa sisi mashabiki wa chelsea kuwa kwa sababu tumebaki kuangalia game zetu wenyewe tu basi tuwe tunagawana timu pinzani mfano leo chelsea na sunderland,mashabiki kadhaa watakuwa sunderland na wengine chelsea,mimi nimepata bahati ya kubakia chelsea ila tumeweka sheria kali kama umechaguliwa kuwa timu pinzani chelsea ikifunga goli usishangilie,ukijisahau ukashangilia faini $ 50,hii ni kutokana na mashabiki wa Liverpool,man utd,arsenal na man city kususia game kutazama game za chelsea kwa kigezo kuwa chelsea wao kila game ni fainali lazima washinde.
 
Chelsea sio One Man Team wakati almost 70% ya points zenu zimeletwa na Costa?
Yy akiumia kuna team pale?
Mane akiondoka Coutihno atakuwa karudi sababu ana anza leo mazoezi mepesi na Dec 30 na Man City anacheza!
Toa mtu ingiza mtu!
Malafyale... VP tena, mbona kama umepagawa na kabumbu la The-Bluuz
Ni hv... Costa lazima afunge maana ndio kazi yake na amesajiliwa kama mfungaji na kwakuwa analifaham hilo vyema bac anafanya kweli... Hv kuna maana gan ya kuwa streaker halafu hufungi..??
Kinachofanyika ni kuwa kipaji na ubora wa Costa umepanda maradufu ingawaje umri umeenda ila bado anangara. Na hili linafanikiwa kwakuwa kocha Conte anamkubali na kumtumia vyema, hvyo inampa moyo sana na kupelekea yey kuperfom vyema.
Ukisema et Chelsea ni one man show UTACHEKWA hata na watoto, na sanasana watakuona hujui mpira au unavoangalia mpra unakuwa na makengeza. Hv nan asiyejua kuwa Chelsea ya sasa inatisha na imekamilika kila idara, suala la nan anafunga ni mipango na chance zinapomkuta mhusika. Ila kama ni ufungaji kila streaker pale anauwezo wa kufanya maajabu atakapokuwa kwenye eneo la hatari..
 
Chelsea will be without Eden Hazard for this evening’s Premier League game at Sunderland after the Belgium international was omitted from the league leader’s squad for the match on Wearside.

Hazard is understood to have suffered a knock in Sunday’s narrow victory over West Bromwich Albion, in which he was replaced late on by Branislav Ivanovic, and has remained at Cobham for treatment.
 
jamani kutokuwepo kwa hazard leo kunanifanya niwe na wasi wasi, kwani wilian simwamini sana
 
Conte hufanyia kz alichokiona kila baada ya game. Sunderland wanaenda kua attacked mwanzo mwisho Ata watumie mbinu gani yani watakambizwa Leo vibaya sn...... Na ushindi Leo ni lazima kwasababu Conte ameona msimamo Wa ligi Na kile alichokifanya Gunners amekiona sasa ili kujiweka ktk nafasi nzuri Leo lazima apige mtu alafu January fixtures yetu ni ngumu sn. Maana ndani ya Jan tuna game kubwa 4 tuna Spurs mapema tu na tuna LFC, Leicester Na Arsenal. So ili kuwa acha hawa lazima hii December tufanye vzr then ikifika jan unakua umewaacha mbali Ata km unataka nao sare tu Basi inakua pouwa.
Umenenaaaaaaaaaa
 
Tumeamua kwa dhati kabisa sisi mashabiki wa chelsea kuwa kwa sababu tumebaki kuangalia game zetu wenyewe tu basi tuwe tunagawana timu pinzani mfano leo chelsea na sunderland,mashabiki kadhaa watakuwa sunderland na wengine chelsea,mimi nimepata bahati ya kubakia chelsea ila tumeweka sheria kali kama umechaguliwa kuwa timu pinzani chelsea ikifunga goli usishangilie,ukijisahau ukashangilia faini $ 50,hii ni kutokana na mashabiki wa Liverpool,man utd,arsenal na man city kususia game kutazama game za chelsea kwa kigezo kuwa chelsea wao kila game ni fainali lazima washinde.
Ahaaaaaaaaaah
 
Tumeamua kwa dhati kabisa sisi mashabiki wa chelsea kuwa kwa sababu tumebaki kuangalia game zetu wenyewe tu basi tuwe tunagawana timu pinzani mfano leo chelsea na sunderland,mashabiki kadhaa watakuwa sunderland na wengine chelsea,mimi nimepata bahati ya kubakia chelsea ila tumeweka sheria kali kama umechaguliwa kuwa timu pinzani chelsea ikifunga goli usishangilie,ukijisahau ukashangilia faini $ 50,hii ni kutokana na mashabiki wa Liverpool,man utd,arsenal na man city kususia game kutazama game za chelsea kwa kigezo kuwa chelsea wao kila game ni fainali lazima washinde.
Mim nitabaki chelsea. Haaaaaaaaaa
 
IMG-20161214-WA0016.jpg
IMG-20161214-WA0016.jpg
 

Attachments

  • IMG-20161214-WA0014.jpg
    IMG-20161214-WA0014.jpg
    15.8 KB · Views: 47

Similar Discussions

Back
Top Bottom