Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Who is chelsea wing back up for alonso and victor moses????? Back up ya alonso naona mtihani.
 
Ila kuna kitu cha kujifunza ktk huu mchezo Wa Leo maana WBA waliweza kuwapoteza Chelsea ktk kupiga mashuti golini kwao. Na Chelsea walishindwa na kubaki kudrible mipira nje ya box tu huku muda ukiwa unaenda.

Sasa ni wakati Wa Conte kutafuta mbinu mbadala kwa timu zikija kwa njia km hii maana WBA Leo shida yao ilikua ni sare tu km ulivyo sema na ndio hicho walikua wanakitafuta na kujishindilia nyuma na kutibua kila movement za Chelsea.

So far ni matokeo mazuri lkn kuna mengi ya kufanyia kz.
Mimi jana nilikuwa naombea chelsea tupate draw tu maana hizi game zetu zimekosa mvuto kiukweli kila game tunajua tunachukua point 3,nipo nchi za mbali huku sasa nina marafiki fulani wazungu siku hizi hawaangalii mechi kabisa kwa madai chelsea ushindi kwao ni kama kupumua tu kabla ya mauti,kiukweli tumebaki kutazama mashabiki wa Chelsea watupu,now kuanzia game ya man city huwa tunagawana mashabiki wengine chelsea wengine wanaenda shabikia timu pinzani ili pawe na angalau tafrani,lakini kibaya zaidi chelsea wakishinda huwa tunajisahau tunashangilia wote
 
Kula yule dogo anaitwa Ola Aina. Huyu ni right back mzuri sn na kila sub lazima apangwe. Kwahiyo km inatokea Alonso yuko off Basi wana switch tu hapo yani Azpilicueta Na Aina.
ingawa kwa mtazamo wangu huku nyuma sina tatizo sana,tatizo langu linaanzia kwa viungo washambuliaji mara nyingi tukikutana na timu yenye beki nzuri au iliyopaki bus,viungo wetu wanashindwa kuvunja ukuta huo. Zaidi tunamtegemea fabregas na kibaya zaidi kama fabregas ataruhusiwa kuondoka January shida ndiyo itakapoanzia refer mechi ya jana assist imetoka kwa fab
 
Mimi jana nilikuwa naombea chelsea tupate draw tu maana hizi game zetu zimekosa mvuto kiukweli kila game tunajua tunachukua point 3,nipo nchi za mbali huku sasa nina marafiki fulani wazungu siku hizi hawaangalii mechi kabisa kwa madai chelsea ushindi kwao ni kama kupumua tu kabla ya mauti,kiukweli tumebaki kutazama mashabiki wa Chelsea watupu,now kuanzia game ya man city huwa tunagawana mashabiki wengine chelsea wengine wanaenda shabikia timu pinzani ili pawe na angalau tafrani,lakini kibaya zaidi chelsea wakishinda huwa tunajisahau tunashangilia wote
mkuu unaombea tutoke droo are u serious watu huku matumbo yalikuwa yanaunguruma tu muda wa dk 76 baada ya goli la diego ndipo tukapumua wewe unaongelea kutoa droo. Ligi hii ipo tight sana ukidroo mara mbili tayari umepitwa point kadhaa refer liverfool ndiyo timu ilikuwa inatupa pressure,hadi hazzard akadiliki kusema ndiyo timu anayodhani title contender material lakini baada ya kutoka sare jana na kufungwa mechi moja tuizidi point 6.Jiulize tungefungwa ile mechi ya man city na kutoka sare jana unadhani tungekuwa nafasi ya ngapi mkuu?
 
ingawa kwa mtazamo wangu huku nyuma sina tatizo sana,tatizo langu linaanzia kwa viungo washambuliaji mara nyingi tukikutana na timu yenye beki nzuri au iliyopaki bus,viungo wetu wanashindwa kuvunja ukuta huo. Zaidi tunamtegemea fabregas na kibaya zaidi kama fabregas ataruhusiwa kuondoka January shida ndiyo itakapoanzia refer mechi ya jana assist imetoka kwa fab
Ktk viungo tuko vzr sn.... Jana kulikua Na matatizo kidogo km unakumbuka WBA waliweka marking ya hali ya juu kwa watu km Hazard Na Pedro kuhakikisha hawachezi kabisa Na km unakumbuka alivyongia Willian badala ya Pedro ndio kidogo kukawa Na uhai.

Alafu pia Faby sio km atauzwa unajua ukiamuangalia Conte namna anavyowatumia wachezaji ni kwamba anawajali sn na anataka wabaki ktk ubora wao. Ndio maana Faby anapumzishwa baada ya kutumika sn na si Faby tu wapo kina Ivanovic Terry lkn Ata km wanapewa dk chache kucheza wanafanya vzr.

Kikubwa kocha atafute mbinu mbadala ya kupenya km timu zikija dizaini ya WBA.
 
Malafyale...nani hayaogopi majogoo!??

One man team...subirini January na Mane aondoke...mtalia machozi ya damu maana hata man useless watawapita tu!
Chelsea sio One Man Team wakati almost 70% ya points zenu zimeletwa na Costa?
Yy akiumia kuna team pale?
Mane akiondoka Coutihno atakuwa karudi sababu ana anza leo mazoezi mepesi na Dec 30 na Man City anacheza!
Toa mtu ingiza mtu!
 
Chelsea sio One Man Team wakati almost 70% ya points zenu zimeletwa na Costa?
Yy akiumia kuna team pale?
Mane akiondoka Coutihno atakuwa karudi sababu ana anza leo mazoezi mepesi na Dec 30 na Man City anacheza!
Toa mtu ingiza mtu!

najua kila mtu hapa atakua anayaogopa majogoo

Bwahahahahhahahahhahahaha
 
Chelsea sio One Man Team wakati almost 70% ya points zenu zimeletwa na Costa?
Yy akiumia kuna team pale?
Mane akiondoka Coutihno atakuwa karudi sababu ana anza leo mazoezi mepesi na Dec 30 na Man City anacheza!
Toa mtu ingiza mtu!

Sasa Mkuu Costa ni mfungaji, all eyes on goal. Kwan huyo Costa anapewa mpira na kipa akafunge au anapewa pasi na wenzake tena viungo au wale wing-backs ambao ni kazi yao kumsaidia afunge, sio mabeki.

Je unahabari pia kwamba magoli ya Chelsea yamefungwa na zaidi ya wachezaji watano tofauti. Ila wewe sasa ambaye unasema na kuonyesha wazi kuwa mnawategemea eidha Coutinho au Mane watakapokuwa hawapo wote utakuwa na hali gani.

Costa hayupo Hazard au Pedro anakaa mbele pale.....na waha najua wajua uwezo wao.
 
Chelsea sio One Man Team wakati almost 70% ya points zenu zimeletwa na Costa?
Yy akiumia kuna team pale?
Mane akiondoka Coutihno atakuwa karudi sababu ana anza leo mazoezi mepesi na Dec 30 na Man City anacheza!
Toa mtu ingiza mtu!
Malafyale. Kumbe wewe unaongea kitu usichokijua. Meanwhile ndiyo kazi ya stricker yaani kufunga taouti na ninyi manavyo mtegemea cotinho na mane. Pia ujue chelsea inacheza kama timu. Wanadefend vizuri wanashambulia na kufunga pia. Kwa uthibitisho zaidi tumeshinda mechi 9 on row, tumefuga magoli 23 tumefungwa magoli 2 kati ya izo mechi 9. Can u imagine. Na wew umeshinda ngapi na umefunga magoli mangapi na umefungwa magoli mangapi. Toa data acha bla bla
Chelsea sio One Man Team wakati almost 70% ya points zenu zimeletwa na Costa?
Yy akiumia kuna team pale?
Mane akiondoka Coutihno atakuwa karudi sababu ana anza leo mazoezi mepesi na Dec 30 na Man City anacheza!
Toa mtu ingiza mtu!
 
Mimi jana nilikuwa naombea chelsea tupate draw tu maana hizi game zetu zimekosa mvuto kiukweli kila game tunajua tunachukua point 3,nipo nchi za mbali huku sasa nina marafiki fulani wazungu siku hizi hawaangalii mechi kabisa kwa madai chelsea ushindi kwao ni kama kupumua tu kabla ya mauti,kiukweli tumebaki kutazama mashabiki wa Chelsea watupu,now kuanzia game ya man city huwa tunagawana mashabiki wengine chelsea wengine wanaenda shabikia timu pinzani ili pawe na angalau tafrani,lakini kibaya zaidi chelsea wakishinda huwa tunajisahau tunashangilia wote
Daaaa nimecheka sana mkuu.
 
Hakuna kitu cha namna hiyo,labda hiyo sheria iwe ni mpya na inaanza kutumika kwa Chelsea! Nijuavyo mimi kesi kama hizo ni team hupigwa "faini" tu au team kucheza bila supporter wake kuwepo uwanjani.
Nilipitia bbc swahili, wanadai Chelsea imehusika mara nyingi na vurugu kwa maana imeshindwa kuwacontrol wachezaji wake, lkn FA hawakuwapa onyo la mwisho hyo ndio pona pona ya Chelsea kunyang'anywa points.
 
27bd609a5ffe712b0cfe95e42a97f197.jpg

“When you have a guy like Diego Costa, anything can happen,” Henry told Sky Sports News.

“For me, at the moment, he is the best striker in the league – because of the goal he scored yesterday [against West Brom] and because of the goal he scored against Midldesbrough.
“That’s him being him – in your face, always running, always being a pain and putting players under pressure.”

Pressed on why Costa has burst back into life this season, having struggled at times during a forgettable campaign for Chelsea as a collective in 2015-16, Henry added: “I think he’s fitter, he doesn’t have a problem with his body.

“Sometimes when you are not well, that can play on your mind. Also if you end up losing, the run they had last year doesn’t help when you are a guy like Diego Costa.


“When you have a plan, a certain way of playing, that gives you confidence when you go on the field. You can see that right now Diego Costa is taking advantage of that.

“Being fit is also a plus. Not playing in the Champions League with his hamstring problems is a plus because he can stay fresh. When you are fresh, you are calmer.

“And when you win and you have already scored, you smile at players. If you are 1-0 down, or 2-0 down and a guy is taking advantage of you, then it’s a bit more difficult to control yourself.

“But for me right now, he is the best striker in the league.”
 
Gunners boss Wenger thinks the title race remains wide open, with consistency over the busy festive period vital to any side's hopes of glory.

"What I believe is they [Chelsea] will be one of the candidates," Wenger said ahead of his side's trip to Everton on Tuesday.
"They are of course one of the teams doing extremely well, but there is no super favourite in there at the moment.

"They will have to maintain that like everybody else at the top. When you look at the league it is down to consistency.

"It is very open, very interesting. Every time a team is the favourites to win, they struggle.

"When you look at the teams around us, you can see the margin of difference between the teams has shrunk a lot.

"The way you respond in every game is absolutely vital. It's a very important period where everybody has to be absolutely focused on our results and the way we want to play."
 
Ila kuna kitu cha kujifunza ktk huu mchezo Wa Leo maana WBA waliweza kuwapoteza Chelsea ktk kupiga mashuti golini kwao. Na Chelsea walishindwa na kubaki kudrible mipira nje ya box tu huku muda ukiwa unaenda.

Sasa ni wakati Wa Conte kutafuta mbinu mbadala kwa timu zikija kwa njia km hii maana WBA Leo shida yao ilikua ni sare tu km ulivyo sema na ndio hicho walikua wanakitafuta na kujishindilia nyuma na kutibua kila movement za Chelsea.

So far ni matokeo mazuri lkn kuna mengi ya kufanyia kz.
Kama uliangalia ule mchezo vizuri kipindi cha kwanza alianza na 3-4-3 lakini kipindi cha pili alirudi kwenye mfumo wake wa kwanza kabla hawajaubadilisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom