eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Ila hazard pedroo hawakua vizuri sana na wba
Kwa hiyo Coutihno sio mchezajiwa Liverpool?Huwa tunamchukua kwa kumuazima Swansea City?Malafyale. Kumbe wewe unaongea kitu usichokijua. Meanwhile ndiyo kazi ya stricker yaani kufunga taouti na ninyi manavyo mtegemea cotinho na mane. Pia ujue chelsea inacheza kama timu. Wanadefend vizuri wanashambulia na kufunga pia. Kwa uthibitisho zaidi tumeshinda mechi 9 on row, tumefuga magoli 23 tumefungwa magoli 2 kati ya izo mechi 9. Can u imagine. Na wew umeshinda ngapi na umefunga magoli mangapi na umefungwa magoli mangapi. Toa data acha bla bla
Coutihno akipewa mpira yy asifunge?Sasa Mkuu Costa ni mfungaji, all eyes on goal. Kwan huyo Costa anapewa mpira na kipa akafunge au anapewa pasi na wenzake tena viungo au wale wing-backs ambao ni kazi yao kumsaidia afunge, sio mabeki.
Je unahabari pia kwamba magoli ya Chelsea yamefungwa na zaidi ya wachezaji watano tofauti. Ila wewe sasa ambaye unasema na kuonyesha wazi kuwa mnawategemea eidha Coutinho au Mane watakapokuwa hawapo wote utakuwa na hali gani.
Costa hayupo Hazard au Pedro anakaa mbele pale.....na waha najua wajua uwezo wao.
Vipi tena mkuu??? Kunywa maji bhasi akili ikae sawa, we are at the top of epl so stay calm.Coutihno akipewa mpira yy asifunge?
Chelsea bana arguments zao daaah!
Mnatamqni mkae pale mbele hata kwa sekunde 1 but imeshindikana.Kwa hiyo Coutihno sio mchezajiwa Liverpool?Huwa tunamchukua kwa kumuazima Swansea City?
Ila nyie Costa ni wenu na akifunga ni sawa lkn sisi Coutihno akifunga ni sababu tumategemea?
Mmetangulia kwa baiskeli ya miti!!
WBA kaonyesha Chelsea ni team ya kawaida tu tofauti na majigambo yenu hapaVipi tena mkuu??? Kunywa maji bhasi akili ikae sawa, we are at the top of epl so stay calm.
Hapo anfield tulikuwa tunashinda na makocha wa kawaida kama guus hiddink, sasa now tupo na italian super technician "conte". Huo mziki wake hamuwezi kuucheza mtapigwa nyingi sana. Kocha wenu kageuka kurumbana na "Neville family" wanavowadiss kuanzia goalkeeper wenu na defence yenu mbovu. Lile pazia lenu litafunuliwa sana.WBA kaonyesha Chelsea ni team ya kawaida tu tofauti na majigambo yenu hapa
Mtakiona cha mtema kuni mkija Anfield
Ndio, wanaangalia uwezekano wa kutupokonya coz wanadai ni mara ya pili team inashindwa kuwa control wachezaji wake, refer game ya spurz last season. According to FA RULE [HASHTAG]#E20[/HASHTAG]. But conte alivohojiwa alisema "it will be a joke for point deduction".Eti naskia FA watatupokonya point ni kweli?
to help you jirani Terry kanyimwa mkataba mpya that one you should know... ila mengine tusubiri tuoneKtk viungo tuko vzr sn.... Jana kulikua Na matatizo kidogo km unakumbuka WBA waliweka marking ya hali ya juu kwa watu km Hazard Na Pedro kuhakikisha hawachezi kabisa Na km unakumbuka alivyongia Willian badala ya Pedro ndio kidogo kukawa Na uhai.
Alafu pia Faby sio km atauzwa unajua ukiamuangalia Conte namna anavyowatumia wachezaji ni kwamba anawajali sn na anataka wabaki ktk ubora wao. Ndio maana Faby anapumzishwa baada ya kutumika sn na si Faby tu wapo kina Ivanovic Terry lkn Ata km wanapewa dk chache kucheza wanafanya vzr.
Kikubwa kocha atafute mbinu mbadala ya kupenya km timu zikija dizaini ya WBA.
Kaka usijisifie mfumo ambao kila kukicha watu wanakujia na suruhisho ya tatizo sawa bado arsenal ila nini kinatokea timu kama WHA wanapofanikiwa kuwakamata play maker kama Harzad na Pedro worse kiungo kabaji inapopotea kabisa???
Nonda mnafungika vizuri tuHapo anfield tulikuwa tunashinda na makocha wa kawaida kama guus hiddink, sasa now tupo na italian super technician "conte". Huo mziki wake hamuwezi kuucheza mtapigwa nyingi sana. Kocha wenu kageuka kurumbana na "Neville family" wanavowadiss kuanzia goalkeeper wenu na defence yenu mbovu. Lile pazia lenu litafunuliwa sana.
Ukisemacho ni kweli Ata Mimi baada ya game Na WBA nilisema kuna vitu vya kujifunza ktk huo mchezo unaweza kupitia post zangu huko nyuma lkn yote yanafanyiwa kz vzr km nyie mnavyofanyia kz mfumo wetu. Lkn kikubwa ni kwamba sisi tunacheza kulingana Na adui yetu alivyo.Kaka usijisifie mfumo ambao kila kukicha watu wanakujia na suruhisho ya tatizo sawa bado arsenal ila nini kinatokea timu kama WHA wanapofanikiwa kuwakamata play maker kama Harzad na Pedro worse kiungo kabaji inapopotea kabisa???
Nimeufatilia sana huu mfumo I swear mtakutana na wabovu wabovu watawatandika haswaa
Usipende sana tazama mpila kinaga ubaga kaka we ni moja kati ya waelewa humu na yule jamaa anaitwa Mentor
Kufunguka ndio tunafungika, ila tuna percentage nyingi za kushinda. Hata game vs spurz tuliruhusu goal but at the end wewe mwenyewe unajua kilichowapata, likewise against man city. Chakukusaidia zaidi conte yupo "flexible sana" sana kulingana na team anayoenda kupambana nayo.Nonda mnafungika vizuri tu
Mark my words akinaswa hazard na Pedro uwa mbadala ni Willian na anaingizwa fabregas ili kupiga pass ndefu zitazomkuta willian au Costa so kwa hali hiyo mpila unakua haukai mbele sababu wilian ni mpigaji ila si mpiga asist mzuri kifupi hawezi kumchezesha costa tokea pande yake na ndio maana mara nyingi anaingia nazoUkisemacho ni kweli Ata Mimi baada ya game Na WBA nilisema kuna vitu vya kujifunza ktk huo mchezo unaweza kupitia post zangu huko nyuma lkn yote yanafanyiwa kz vzr km nyie mnavyofanyia kz mfumo wetu. Lkn kikubwa ni kwamba sisi tunacheza kulingana Na adui yetu alivyo.
Ndio, wanaangalia uwezekano wa kutupokonya coz wanadai ni mara ya pili team inashindwa kuwa control wachezaji wake, refer game ya spurz last season. According to FA RULE [HASHTAG]#E20[/HASHTAG]. But conte alivohojiwa alisema "it will be a joke for point deduction".




Kumbuka uzuri hatuwezi kupokonywa point simply FA ilikuwa haijatoa onyo labda sasa ikitokea tena ndo tunapokonywaNdio, wanaangalia uwezekano wa kutupokonya coz wanadai ni mara ya pili team inashindwa kuwa control wachezaji wake, refer game ya spurz last season. According to FA RULE [HASHTAG]#E20[/HASHTAG]. But conte alivohojiwa alisema "it will be a joke for point deduction".