Yomakon
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 638
- 679
Kwa upande wa chelsea kwa msimu huu anadefence nzuri ambayo imeruhusu magoli machache sana na kwa upande wa attack nako imekamilika ...hizi timu ndogo huwa zinaotea alafu zinapaki basi cha msingi vijana waanze mechi kama vile wamefungwa. Ila kuna dought ya luis kuanza kutokana na majeruhi aliyoyapata
Timu ambayo inaweza kuizuia chelsea kwasasa badi ni kitendawili sababu amekamilika kila idara tofauti na timu kama Liverpool wenye good attack na poor defence tofauti na Man city ambao nao defence yao inakuwa kama haijakaa sawa ..
Na kuhusu suala la Luiz kutokuwa sawa nadhani tusubiri mpaka baadae kidogo hapo ndotutajua kama ataanza au hatoanza .
Nakama ikitokea hatoanza kwa gemu ya leo hata team ceptain John Terry anaweza akacheza na kuimudu vyema sababu westbrown attack yao haiko nakasi sana .
All the Best my Chelse