Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

204d16340ef7d74f298ca34ed029a70a.jpg

Moyes naye alikuepo kuangalia ni jinsi gani ya kuwathibiti chelsea siku ya jumatano ...

Ila uzuri wa conte habadili formation ni ileile 3:4:3 lakini makocha wanapata tabu jinsi ya kuukabili mfumo na atakacho kutanancho moys jtano hata kaa amini ..

Viva chelsea forever
 
Hakika leo nimemwona didie drogba leo kupitia costa
Goal alilofunga diego bila jitihada za costa match ingeisha 0-0
Ile lazimisha aliyomfanyia yule beki nikamkumbuka drogba enzi zile alizokua akitamba
Goli zuri sana amefunga diego costa
Congratulation chelsea for victory today
 
204d16340ef7d74f298ca34ed029a70a.jpg

Moyes naye alikuepo kuangalia ni jinsi gani ya kuwathibiti chelsea siku ya jumatano ...

Ila uzuri wa conte habadili formation ni ileile 3:4:3 lakini makocha wanapata tabu jinsi ya kuukabili mfumo na atakacho kutanancho moys jtano hata kaa amini ..

Viva chelsea forever

WBA walijaza timu nzima kwenye kiungo kuwabana middle za Chelsea, ukiingalia mechi kiundani utaona WBA walikwa na lengo la kutafuta sare tu

Anyway, Chelsea kama kawaida yetu tumerudi kwenye nafasi tunayostaili, ngoja tuiomnee njaa Liverpool
 
Naangalia game ya Liverpool na Westham United, naona WHU wameingia na 3:4:3 sijui kama wataitendea haki
 
WBA walijaza timu nzima kwenye kiungo kuwabana middle za Chelsea, ukiingalia mechi kiundani utaona WBA walikwa na lengo la kutafuta sare tu

Anyway, Chelsea kama kawaida yetu tumerudi kwenye nafasi tunayostaili, ngoja tuiomnee njaa Liverpool
Ila kuna kitu cha kujifunza ktk huu mchezo Wa Leo maana WBA waliweza kuwapoteza Chelsea ktk kupiga mashuti golini kwao. Na Chelsea walishindwa na kubaki kudrible mipira nje ya box tu huku muda ukiwa unaenda.

Sasa ni wakati Wa Conte kutafuta mbinu mbadala kwa timu zikija kwa njia km hii maana WBA Leo shida yao ilikua ni sare tu km ulivyo sema na ndio hicho walikua wanakitafuta na kujishindilia nyuma na kutibua kila movement za Chelsea.

So far ni matokeo mazuri lkn kuna mengi ya kufanyia kz.
 
Kweli k
Ila kuna kitu cha kujifunza ktk huu mchezo Wa Leo maana WBA waliweza kuwapoteza Chelsea ktk kupiga mashuti golini kwao. Na Chelsea walishindwa na kubaki kudrible mipira nje ya box tu huku muda ukiwa unaenda.

Sasa ni wakati Wa Conte kutafuta mbinu mbadala kwa timu zikija kwa njia km hii maana WBA Leo shida yao ilikua ni sare tu km ulivyo sema na ndio hicho walikua wanakitafuta na kujishindilia nyuma na kutibua kila movement za Chelsea.

So far ni matokeo mazuri lkn kuna mengi ya kufanyia kz.
kweli kaka, kuna haja kubwa ya kiwa na mbadala wa huo mchezo, maana sasa wanaufanyia research, maana Totenham walijitahidi sana kutubada, na tuliwafunga baada ya wakina Dembele kuchoka, labda awe anaswitch 4:3:3 nao sio mbaya sana
 
WHU huo ndio mfumo wao wanaoutumia.... Na wameuzoea sn...
Kaso wanalolifanya WHU nikucheza kwa mazoea kama mfumo wa 3:4:3 ungekuwa unaleta manufaa kwao wasingekuwa kwenye nafasi ya 17...

Kocha wao anchotakiwa kufanya ni kuangalia wachezaji wake wanafeet kwenye mfumo upi lakin kwa huu wa 3:4:3 watakuwa walia kila siku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom