Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hapa Willian anatakiwa kuingia ili kuongeza nguvu ya kulazimisha, Pedro leo naona wakaangusha angusha tu
 
l.JPG


Hazard baada ya kuchezewa rafu
 
Pamoja na refa kujitahidi kuwabeba Chelsea ila bado wana hali ngumu.

So far sijaona mahali ambapo refa amewabeba. Au unamaanisha ile mechi ya I think last season or so ambapo refa aliwabeba Chelsea kwa kuwapa penalti dakika za mwisho?
 
So far sijaona mahali ambapo refa amewabeba. Au unamaanisha ile mechi ya I think last season or so ambapo refa aliwabeba Chelsea kwa kuwapa penalti dakika za mwisho?
Nime overlook, kuna kadi za mwanzo alizitoa niliona hazina sababu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom