kumbuka kuna hazard unaweza kumteua luis ukaleta mgawanyiko ktk timu miye naona hazard na diego watafaa zaidiTerry akiondoka msimu ujao na Cahill definitely atakuwa Captain, basi Luiz apewe usaidizi..he deserves it!
kumbuka kuna hazard unaweza kumteua luis ukaleta mgawanyiko ktk timu miye naona hazard na diego watafaa zaidiTerry akiondoka msimu ujao na Cahill definitely atakuwa Captain, basi Luiz apewe usaidizi..he deserves it!
kumbuka kuna hazard unaweza kumteua luis ukaleta mgawanyiko ktk timu miye naona hazard na diego watafaa zaidi
Mtaa huu mambo mazuri, ngoja watu waujulie mfumo wenu, mtachapwa kama dawa tu.
unamteua Hazard kwa kuwa ni star ama kwa kuwa ana uwezo wa kuongoza na ku-motivate wenzake?
Heri hata useme Diego.
Kwa kufuatilia interviews za wachezaji wenyewe...watu wanaoweza kupewa u-captain kwa kuwa wana uwezo wa kuongoza/motivate ni;
- David Luiz
- Costa
- Azpilicueta
- Matic.
Sooner than later watang'amua tu. Soccer ni mchezo ambao no one has dominated forever, nyie msubiri tu kutumbuliwa, tena na lower teams.Mpaka wajue sisi tutakuwa tumeshachukua ushindi, na wakijua msimu ujao sisi tutakuwa tumeshatafuta mfumo mbadala wa kutesa nao
Mfumo kuukabili itachukua mda sana ..Mtaa huu mambo mazuri, ngoja watu waujulie mfumo wenu, mtachapwa kama dawa tu.
Mbona washaujua na kuiga wanaiga lakini ndio hivyo tumeuzoea zaid yaoMtaa huu mambo mazuri, ngoja watu waujulie mfumo wenu, mtachapwa kama dawa tu.
Aisee mbona silver alifurahi sana.Najaribu kuweka maneno kwenye mawazo yaliyokuwa yakipita kichwani mwa David Luiz wakati huu....
![]()
Sooner than later watang'amua tu. Soccer ni mchezo ambao no one has dominated forever, nyie msubiri tu kutumbuliwa, tena na lower teams.
Aisee mbona silver alifurahi sana.
Huyu jamaa kante nikimwangalia najikuta natabasmu tu mwenyewe yaani yeye hana hata wasiwasi. Ni full kutabasamu![]()
one of those saves...
![]()
![]()
unadhani hazard kuwa captain wa ubelgiji ni kwa sababu gani?unamteua Hazard kwa kuwa ni star ama kwa kuwa ana uwezo wa kuongoza na ku-motivate wenzake?
Heri hata useme Diego.
Kwa kufuatilia interviews za wachezaji wenyewe...watu wanaoweza kupewa u-captain kwa kuwa wana uwezo wa kuongoza/motivate ni;
- David Luiz
- Costa
- Azpilicueta
- Matic.
Kivipi mkuu????tatzo siku hizi chelsea ni kama twiga stars