Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,047
- 3,978
- Thread starter
- #34,741
ha ha ha ha ha ha, waje tu nafasi zipo za kutosha
hahhaaa..........hivi huyu ana pacha wake Chelsea.?
simjui jina nae ana minywele kama ya FellainiGarry Cahill!
simjui jina nae ana minywele kama ya Fellaini
Garry Cahill!
jamaa anyoe zake...........kama zina majanga tu.Ha ha ha ha ha kwa sasa wachezaji wetu sisi wenye nyele wana akili, Luiz na Willian.
Kennedy yupo injury, karudishwa home(chelsea squard)he trained with chelsea squard, hadi majuzi akawa anatupia pics insta wakiwa na david luiz on training at cobham. Yeye na remy wamerudishwa on parent club kujiweka fit zaidi agaisnt injury.Hivi Kennedy anacheza kweli? maana sijamuona katika mechi zote nilizoangalia za Watford!
Ni injury mkuu, yupo na chelsea squard anajiweka fit ku-return on normal.huyu jamaa kule sijamuona mkuu, sema kutokana na kipindi alichokuwepo nyumbani namkubali sana
Kenedy ni majeruhi mkuu, karudishwa nyumbani(chelsea).Mm pia nawafuatilia sana hawa madogo, hapo anaesugua ni kennedy peke yake
Ake ameshafunga magoli mawili yaliyoipa benourmous point 6 ikiwemo mechi ya liverfools huyu dogo ni kiraka azipilicueta akasome maana anacheza beki ya kati na pembeni kushoto pia ni middle 6
Andreas cristean ni bonge la beki na tayari anauzoefu wa uefa na sasa ni first eleven wa borussia monchegladbach msimu ujao anaweza akarudi, sema sasa anataka first eleven wakati huo huo zouma anaweza akaja kukichafua balaa sijui itakuaje
Musonda nae anajua kinyamaa hasa dribbling pedro na willian wakasome yuko real betis now ana injury ila yuko vizuri speed ya kutosha
Huyo Tammy abraham anatupia kinomaa hadi conte anamsifia yuko championship bristol lovers kama sijakosea sema hana kasi kama mnyama costa ila anaphysic nzuri kuliko hata michy
Kennedy yuko watford ila bado sijaona kama ameshacheza na nahisi walimchukua kwasababu aliwafunga goli la mapema la msimu
Traole anapata muda mwingi mno ajax lakini sioni akinishawishi, ninachompenda anakasi, anajua off the ball moves pia anatumia mguu kama wa messi mara nyingi ila bado sana kurudi kwenye level zake ninazozijua za magoli 14-20 kwa msimu
Lewis baker sijui hata yuko wapi nitamtafuta, pia wapo wangine wengi wazuri tuu hasa ligi ya uholanzi na championship ila walioko uholanzi most of them wajua including mbrazili yuko vittesse jina sikumbuki
ISEMBO=TONDOO?Chelsea v Peterborough/Notts County
Yaani mshindi wa Peterborough vs Notts County ndiye atakayecheza na Chelsea ifikapo Januari .
Alieko Vittesse ni Mbrazil NathanMm pia nawafuatilia sana hawa madogo, hapo anaesugua ni kennedy peke yake
Ake ameshafunga magoli mawili yaliyoipa benourmous point 6 ikiwemo mechi ya liverfools huyu dogo ni kiraka azipilicueta akasome maana anacheza beki ya kati na pembeni kushoto pia ni middle 6
Andreas cristean ni bonge la beki na tayari anauzoefu wa uefa na sasa ni first eleven wa borussia monchegladbach msimu ujao anaweza akarudi, sema sasa anataka first eleven wakati huo huo zouma anaweza akaja kukichafua balaa sijui itakuaje
Musonda nae anajua kinyamaa hasa dribbling pedro na willian wakasome yuko real betis now ana injury ila yuko vizuri speed ya kutosha
Huyo Tammy abraham anatupia kinomaa hadi conte anamsifia yuko championship bristol lovers kama sijakosea sema hana kasi kama mnyama costa ila anaphysic nzuri kuliko hata michy
Kennedy yuko watford ila bado sijaona kama ameshacheza na nahisi walimchukua kwasababu aliwafunga goli la mapema la msimu
Traole anapata muda mwingi mno ajax lakini sioni akinishawishi, ninachompenda anakasi, anajua off the ball moves pia anatumia mguu kama wa messi mara nyingi ila bado sana kurudi kwenye level zake ninazozijua za magoli 14-20 kwa msimu
Lewis baker sijui hata yuko wapi nitamtafuta, pia wapo wangine wengi wazuri tuu hasa ligi ya uholanzi na championship ila walioko uholanzi most of them wajua including mbrazili yuko vittesse jina sikumbuki
Alieko Vittesse ni Mbrazil Nathan
Ni injury mkuu, yupo na chelsea squard anajiweka fit ku-return on normal.
mind the GAP mkuu !
NDO WAKATI WAKE HUU ...Naona mind the gap hatimaye imerudi,muanzilishi wake august8 alipotea kabisa