Matokeo ya London derby hayajalishi nani yupo au nani hayupo! Yeyote anaweza kuwa mshindi.Mama wee kaka Rose hachezi mbona tutawafunga mengi. Halafu kuna defender mwingine hayupo kwao..simkumbuki nani, ni majeruhi.
Wacha nianze kushangilia
Kunauwepo wa baadhi ya wachezaji kwa baadhi ya mechi ni muhimuMatokeo ya London derby hayajalishi nani yupo au nani hayupo! Yeyote anaweza kuwa mshindi.
Halafu Kennedy arudishwe msimu ujao awe anampumzisha Marcus alonso.
Nathaniel Chalobah: Midfield
Nadhani huyu kwa nilivyoangalia anafaa kucheza nafasi ya Matic zaidi kuliko Kante.
Sio mchoyo wa pasi kabisa na nadhani hii itampa rapport nzuri na wachezaji wenzake.
Sina maana hiyooooo.Ko kante mchoyo wa pasi?
Nakushauri tembelea site ya premierleague.com usome uchambuzi wa wanaojua mpira walivyoeleza jinsi gani Spurs wanaweza ku-capitalize mapungufu ya 3-4-3 na kupata ushindi mechi ya kesho. Pamoja na kwamba Rose hayumo kwenye kikosi kitakachocheza kesho, kocha Conte anaichukulia mechi ya kesho kuwa ni mechi ngumu (hata wachezaji wanajua hivyo)!Tukiwapiga chache sana ni 3-0
Tutambuane kwanza wewe team yako ipi? Maana naona unaumia sana chelsea kushinda wanao chambua mpira ni watu kama wewe ni sawa na mtu anayechambua kua chelsea leo lazima apigwe na wewe ume bet kua chesea anashinda na wewe uka win ni nani? anajua kati hawo wa wiliNakushauri tembelea site ya premierleague.com usome uchambuzi wa wanaojua mpira walivyoeleza jinsi gani Spurs wanaweza ku-capitalize mapungufu ya 3-4-3 na kupata ushindi mechi ya kesho. Pamoja na kwamba Rose hayumo kwenye kikosi kitakachocheza kesho, kocha Conte anaichukulia mechi ya kesho kuwa ni mechi ngumu (hata wachezaji wanajua hivyo)!
Na tukiwa tunazuia wanakua 7 Na kule mbele wanabaki watatu Pedro, Costa Na Hazard yani automatic tunawafanya wapinzani washindwe kuja kutushambulia maana wakija wote wanawaacha Hazard, Costa Na Pedro Na wakifanya hivyo inakua hatari kwao. Na kuwazuia hawa wachezaji watatu lazima uwe Na wachezaji wanne. Sasa ukiwa Na wachezaji wanne wanafanya marking kwa wachezaji watatu unapunguza idadi ya wachezaji ktk kushambulia Na kubaki 6. Sasa hao 6 watafanya nini ktk hao 7 Wa Chelsea wanaozuia?
Kweli aiseehHalafu Kennedy arudishwe msimu ujao awe anampumzisha Marcus alonso.
Kama ndio hivyo spurs anamiaka mingapi ajapata ushindi Darajani?Matokeo ya London derby hayajalishi nani yupo au nani hayupo! Yeyote anaweza kuwa mshindi.
Mimi ni ze Bluz ila huwa sina tabia ya kubeza timu pinzani kwenye epl. Hata Conte na wachezaji wa ze bluz hawabezi timu pinzani. Kasome comment ya Moses kuhusu mechi ya kesho dhidi ya Spurs uone kwenye site ya club (www.chelseafc.com).Tutambuane kwanza wewe team yako ipi? Maana naona unaumia sana chelsea kushinda wanao chambua mpira ni watu kama wewe ni sawa na mtu anayechambua kua chelsea leo lazima apigwe na wewe ume bet kua chesea anashinda na wewe uka win ni nani? anajua kati hawo wa wili
Since 1990!Kama ndio hivyo spurs anamiaka mingapi ajapata ushindi Darajani?
Matokeo ya London derby hayajalishi nani yupo au nani hayupo! Yeyote anaweza kuwa mshindi.