Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Saizi anamtafuta mchawi hamuoni, mara aseme wachezaji wanamuangusha, mara marefa hawampendi, mourinho kwisha habari yake. Huku sisi tukigonga DROSTOFY WINE WITH CONTE
Haahahahahahah

Mkuu mou zama zake zimeisha hana alichobakiza kwenye soka

Hata pep naye vile vile nawafananisha na mziki wa singeli ushachuja tayari.

Saivi wanabakia makocha wanaofundisha Mpira zama za makocha wapanga vikosi zilishapita


Sijui man kwanini wanambakiza huyo MTU jeuri
 
Haahahahahahah

Mkuu mou zama zake zimeisha hana alichobakiza kwenye soka

Hata pep naye vile vile nawafananisha na mziki wa singeli ushachuja tayari.

Saivi wanabakia makocha wanaofundisha Mpira zama za makocha wapanga vikosi zilishapita


Sijui man kwanini wanambakiza huyo MTU jeuri
Mkuu, vuta kumbukumbu last season (hazard & matic) wanakaa benchi eti wame drop viwango????? Mcheki italian tactition/techinical alivyoi transform team, uliwahi fikiria victor moses angecheza chelsea 1st 11????? Kayauza majembe kibao chelsea eti hawafit kwenye mfumo wake, refer KEVIN DE BRYUNE+ANDRE SHURLE+ETC. Kama vipi akalee wajukuu tu ndo alichobakiza
 
Mkuu, vuta kumbukumbu last season (hazard & matic) wanakaa benchi eti wame drop viwango????? Mcheki italian tactition/techinical alivyoi transform team, uliwahi fikiria victor moses angecheza chelsea 1st 11????? Kayauza majembe kibao chelsea eti hawafit kwenye mfumo wake, refer KEVIN DE BRYUNE+ANDRE SHURLE+ETC. Kama vipi akalee wajukuu tu ndo alichobakiza
Tatizo Kwa Mourinho lililopo ni kubwa sn... Wala sio kua ameisha Mourinho amekua Na maadui wengi sn kila kona mpk wachezaji wake sasa kuhujumiwa au kuangushwa ni rahisi sn. Hili ndio tatizo LA Mourinho lkn sio kaishiwa mbinu hapana. Huyu ana mbinu nyingi sn ata za kushinda akiwa na alama ya kupossess mpira asilimia 1. So hili ndio linalo msumbua Na pia watu wanamfanyia makusudi ili asifanikishe mambo Yake kwasababu huyu ni mfalme Na kiboko ya makocha.

Siku hizi yeye Na washauri wake Na bodi Yake ya uongozi ata club ya man Utd wanajaribu kuweka usawa Fulani Wa kupunguza uadui Kwa Mou ili kuleta umoja Na sasaivi ukiangalia Utd imeanza kuimarika.

Nishauri tu huyu Mourinho kwetu sisi watu Wa darajani ndio kocha pekee alietupatia mafanikio kuliko makubwa kocha yoyote yule. Kwahiyo kumsema vibaya sio sahihi kabisa.

In José Mourinho we Still trust.....
 
Mkuu, vuta kumbukumbu last season (hazard & matic) wanakaa benchi eti wame drop viwango????? Mcheki italian tactition/techinical alivyoi transform team, uliwahi fikiria victor moses angecheza chelsea 1st 11????? Kayauza majembe kibao chelsea eti hawafit kwenye mfumo wake, refer KEVIN DE BRYUNE+ANDRE SHURLE+ETC. Kama vipi akalee wajukuu tu ndo alichobakiza
Hahaahahh tatizo hashauriki na kiburi sana hana tofauti na sizonje wetu
 
Napenda kuwapa hai mafans wote wa chelsea na niseme tu match haitakua rahisi kiivyo japo tutashinda
Ushindi wetu leo yapaswa waupiganie kwelikweli kama hawaitaji sare wala kufungwa
3-4-3 falsafa yake inamtaka kila atakaevaa jezi kuingia uwanjani apambane mpaka mwisho bila kuchoka
Pongezi zangu kwa aspilicueta na david luiz hakika wamekua vizuri mno kuliko misimu yote waliyocheza
Moses and alonso sijawahi kuwafikiria hivi kwamba wanaweza kufanya majukumu mawili
Moses akikaba na alonso akishambulia ni saprise hii
Sasa wote wanakaba na kushambulia kwa ufasaha kabisa respect kwa conte hapa
 
Tatizo Kwa Mourinho lililopo ni kubwa sn... Wala sio kua ameisha Mourinho amekua Na maadui wengi sn kila kona mpk wachezaji wake sasa kuhujumiwa au kuangushwa ni rahisi sn. Hili ndio tatizo LA Mourinho lkn sio kaishiwa mbinu hapana. Huyu ana mbinu nyingi sn ata za kushinda akiwa na alama ya kupossess mpira asilimia 1. So hili ndio linalo msumbua Na pia watu wanamfanyia makusudi ili asifanikishe mambo Yake kwasababu huyu ni mfalme Na kiboko ya makocha.

Siku hizi yeye Na washauri wake Na bodi Yake ya uongozi ata club ya man Utd wanajaribu kuweka usawa Fulani Wa kupunguza uadui Kwa Mou ili kuleta umoja Na sasaivi ukiangalia Utd imeanza kuimarika.

Nishauri tu huyu Mourinho kwetu sisi watu Wa darajani ndio kocha pekee alietupatia mafanikio kuliko makubwa kocha yoyote yule. Kwahiyo kumsema vibaya sio sahihi kabisa.

In José Mourinho we Still trust.....
Kweli mkuu Mourinho ni Kocha bora aliye iletea Chelsea heshima hatutakiwi kumkejeli wala kumdharau.. Yeye kashaandika historia katika club..
Conte ameanza vizuri ila hatuwezi kumfananisha na mou.. Mou ni level nyingine
Tusubiri nayeye aonyeshe ubora wake bado mapema sanaa kumtoa thamani mou kwa conte hata msimu haujaisha.
 
Jamani naomba mnijulishe nitumie web site gani ili niweze kuangalia mechi ya Chelsea na Tottenham Hotspur saa mbili na nusu usiku huu. Nataka kuitazama hii mechi live online kwenye stream. Nijulisheni web site isiyokuwa na shida.
 
Team to face Spurs: Courtois; Azpilicueta, David Luiz, Cahill (c); Moses, Kante, Matic, Alonso; Pedro, Diego Costa, Hazard. [HASHTAG]#CFC[/HASHTAG]
 
Leo Willian anaanzia Benchi safi sn Conte.

Sasa Leo tunawakimbiza mwanzo mwisho
 
Kama wasemavyo hakuna mkate mgumu mbele ya chai na mimi nasema hakuna timu ngumu mbele ya 3:4:3
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom