Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,175
- 26,913
HaahahahahahahSaizi anamtafuta mchawi hamuoni, mara aseme wachezaji wanamuangusha, mara marefa hawampendi, mourinho kwisha habari yake. Huku sisi tukigonga DROSTOFY WINE WITH CONTE![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mkuu mou zama zake zimeisha hana alichobakiza kwenye soka
Hata pep naye vile vile nawafananisha na mziki wa singeli ushachuja tayari.
Saivi wanabakia makocha wanaofundisha Mpira zama za makocha wapanga vikosi zilishapita
Sijui man kwanini wanambakiza huyo MTU jeuri

