BeNNy Mamba
Member
- Jun 21, 2016
- 75
- 66
Pochettino: "Chelsea top because of easy fixtures"
Mnyama Conte......[emoji123] [emoji123] [emoji123] [emoji123] [emoji123] [emoji123] [emoji123] [emoji123] [emoji123][HASHTAG]#simplyConte[/HASHTAG]
![]()
Hahahaha yani ni shidraaaaHahaha na kuwazuia hao sio tu uwe na mabeki wa 4 bali mabeki wa maana wa 4 sio kama wale wa man u
Bila shaka.Pochettino: "Chelsea top because of easy fixtures"
Looserfool [emoji777]
Bila shaka.
Looserfool [emoji777]
Man city [emoji780]
Arsenal [emoji777]
Tot [emoji780]
Everton[emoji736]
Man u[emoji736]
Hizi wiki mbili zinazokuja ndio zitasema ukweli, whether its bcoz of easy fixtures or ujanja ujanja.
Exactly thats what i mean.By wiki mbili unamaanisha Tottenham na Manchester City, right!??
Aisee km wewe ni mpenzi Wa Chimpumu tafuta jagi lako LA chimpumu hiyo SAA mbili unusu usiku ugonge taratiiiiiibu huku unashangilia mvua ya magoli inavyoingia Kwa Spurs.game ya kesho ni ngumu wadau, leteni uchambuzi akina ntuzu, mentor, naukubali sana uchambuzi wenu hakika nyie mnaijua chelsea
Aisee km wewe ni mpenzi Wa Chimpumu tafuta jagi lako LA chimpumu hiyo SAA mbili unusu usiku ugonge taratiiiiiibu huku unashangilia mvua ya magoli inavyoingia Kwa Spurs.game ya kesho ni ngumu wadau, leteni uchambuzi akina ntuzu, mentor, naukubali sana uchambuzi wenu hakika nyie mnaijua chelsea
I don't think so Brother.Exactly thats what i mean.
Habari za siku Ntuzu? Naona siku hizi shavu linakutoka tu, vicheko mwanzo mwisho.I don't think so Brother.
Kwani ni timu IPI walikua na ratiba ngumu km chuma? Nauliza.
Safi tu mkuu.Habari za siku Ntuzu? Naona siku hizi shavu linakutoka tu, vicheko mwanzo mwisho.
Vs Tot ni london derby matokeo huwa hayatabiriki japo naona mnajifariji na historia
Vs man city hii ni pep vs conte mwenye kisu kikali ndio atakae kula nyama.
Exactly thats what i mean.
Sitaki kuongelea upande Wa Moses na Alonso kz yao mnaijua vzr sn. Who can stop them? Nauliza? Yani yule jamaa anaitwa Walker Leo labda akatembelee vijiji vya Ushetu huko mkoa Wa Simiu lkn si darajani. Maana Alonso Jana kaniambia kua anataka kuwaprove mashabiki Wa Chelsea kua yeye ni bora kuliko Ashley Cole na Delhono na Galas.
We mentor msaada please. Nini hiii? Fafanua kidogo[HASHTAG]#simplyConte[/HASHTAG]
![]()
Hilo lipo sn mkuu kwasababu hao jamaa hawawezi kudhibiti nguvu zao.Kati ya Walker...Dembele au Wanyama...wasipoangalia vizuri kuna mmojawapo ataondoka na red kesho!
Saizi anamtafuta mchawi hamuoni, mara aseme wachezaji wanamuangusha, mara marefa hawampendi, mourinho kwisha habari yake. Huku sisi tukigonga DROSTOFY WINE WITH CONTE[emoji485] [emoji485] [emoji485] [emoji485] [emoji485][emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Daaaah wakuu hongereni sana kwa moyo thabiti na uvumilivu mliokuwa nao wakati chama letu likipitia transition period aisee ilikuwa inakatisha tamaa but you were the real die hard fans bravo to u .
Aisee bwana yule alituachia nuksi darajani kaipeleka mtaa Wa pili kule hahahahahah
[HASHTAG]#ktbffh[/HASHTAG][emoji123]