Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,791
- 4,878
dsrajani
Poleni tena Man U...!Kombe leo litaendelea kupakwa rangi ya Bluu. Pole zangu za dhati in advance kwa wapenzi na mashabiki wa Man U.
Lazima leo muishi kama mashetani 🙂
Ndio mkuu wangu nimerudiKiongozi umerudi? Umepotea sana..
nilisema mimi haya ss wamelowa rungu 4bila shaka man u itakaa tu.
hongera mkuu[emoji1] [emoji1] mmejitahdMasikini Man united, tumewapiga 4-0 kama wamesimama aisee.
hongera mkuu [emoji4] [emoji4] jitahidini mshiriki nafasi ya UEFANdio mkuu wangu nimerudi
Leo baba Mou kimya ...
Anasema makosa binafsi ya mabeki ndo yameleta shida....
Jamaa wewe ni shehe Yahya leo nalala usingizi mzito mnomaweeee...Blind huyu mmoja????? huyu???? lol...wacha nisiseme sana
Zlatan keshajifia zake anakula pensheni anawashangaa bado mnampanga...halafu siku hiyo ndo mtashangaa Cahill atakavyokuwa mcharo.
Kwanzaaaaaaaaa huko kwa kina Cahill mtafika kweli...kule V. Moses...huku Alonso...mkiingia kati kuna mamiguu Matic na dogo Kante (the Parisian)...sijuiiiii
labda kama watakakujipa moyo tu..ila sijuiii...kweli kabisa Shaw na blind wamzuie Hazard? Blind?????
Haya basi...Valencia amzuie Willian? are you serious au Mou keshawaambukiza?
Busuu lako lilikua tamu sana nimekufokonyoa mpaka baasTupungiane hewani wapendwa wangu wote humu, nawasalimu woteee kwa busu takatifu[emoji8] [emoji8] [emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji113]. ....
Hongereni kwa Ushindi mnono[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]