donzii mayeyo
Member
- Nov 13, 2015
- 66
- 37
Hatari sana
![]()
Akili uliyotumia ya kumfanya Victor kama Wing back...nakupa sifa. maana ana speed na ana akili ya kushambulia...namfananisha na Danny Rose ama Nathaniel Clyne!!
Habari za mripuko(breaking news) za muda hii zinasema Conte amenunua mechi kutoka kwa Ranieri.Duh mechi tatu zijazo si mchezo...maana zinapishana siku mbilimbili tu...
Jumapili - Man UTD
Jumatano - Westahm (EFL Cup)
Jumapili - Southampton
Hapo ndo October iishe...si mchezo walai!!!
Habari za mripuko(breaking news) za muda hii zinasema Conte amenunua mechi kutoka kwa Ranieri.
Ranieri alikubali kuuza mechi ya leo ili kunusuru kibarua cha ndugu yake. Ranieri amefanya hivyo akijua ana kinga ya kutopoteza kibarua chake kwa sababu ya miujiza ya Leicester iliyofanya msimu uliopita.
Pia , habari zingine zinadokeza Domokaya bin Mpayukaji amedhamiria kuchanganya lugha ya kiitaliano na kirusi kwa pamoja atakapokutana na Chelsea.
Timu zangu ni kawaida mwanzo wa msimu kuziachia timu zile zijipe matumaini lakini baada ya Krismasi ndio zinaanza kutoa dozi na kusababisha maumivu kwa mashabiki wa timu zinazopenda kununua mafanikio na ubingwa.sisi kama mashabiki tunafarijika kuona klabu yetu ina fedha za kuweza kununua mechi. Maana ni wengi wanaotamani fursa hiyo ila uwezo hawana.
Refer timu zako: Stoke, Swansea na Sunderland.
Baada ya kusema hayo kuelekea mechi ijayo ni matumaini yetu Mou atajifunza lugha mpya ya Kiswahili! Huenda siku moja tutakuja kumuajiri afundishe TFF.
Kwanza kabisa hebu nikaribisheni manake ndo kwanza nabisha hodi humu , mimi mnazi wa chelsea hatari!
ILA KITENDO CHA DIEGO COSTA KUONESHA ISHARA APEWE PUMZIKO NA CONTE BADO SIJALIELEWA MANAKE HAPO MMOJAWAPO AKIJAA SUMU HUENDA TIMU IKASAMBARATIKA KIUSHIRIKIANO.
Asante sana,bingwa mtetezi kala 3-0 heheeeee!!hongereni kwa points tatu muhimu
![]()
Man u wajiandae tu kisaikolojia aisee! Watakula nyingi mpaka watapoteana uwanjani.Leo timu nzima imecheza vizuri sana, kwa ushirikiano. Hii ari napenda iendelee mpaka game ya Man. Utd.
Man u wajiandae tu kisaikolojia aisee! Watakula nyingi mpaka watapoteana uwanjani.
AmeeeeeiiiiiiiijiiìingiiiiiiCan you imagine pale mbele kuwe na Willian-Costa-Hazard!???
Kwanza yale machungu ya kufiwa...
Halafu naamini na Fab atakuwa amepona...hata asipocheza...pale mbele aingie Willian atoke Pedro...daadek!!!! Spirit aliyoonesha Luiz leo aioneshe Jpili. Cahill akae macho...au aingie mtu mzima Terry...
Kante man of the mathch...sijui kama Pogba atagusa mpira kwa kweli!
nawatangulizia RIP
Lazima wakae aisee.Can you imagine pale mbele kuwe na Willian-Costa-Hazard!???
Kwanza yale machungu ya kufiwa...
Halafu naamini na Fab atakuwa amepona...hata asipocheza...pale mbele aingie Willian atoke Pedro...daadek!!!! Spirit aliyoonesha Luiz leo aioneshe Jpili. Cahill akae macho...au aingie mtu mzima Terry...
Kante man of the mathch...sijui kama Pogba atagusa mpira kwa kweli!
nawatangulizia RIP
kikubwa msipotee tu jukwaani, vichapo vikikolea mnamuacha mentor peke yakeMan u wajiandae tu kisaikolojia aisee! Watakula nyingi mpaka watapoteana uwanjani.
HAHAAA kaka chelsea ya mou ndio huwa inatusumbua sana lakini hii ya conte sina papara nayo kabisa shaw, blind, bailly na valencia wanatosha kabisaa kuwaficha hao akina coshta, hazard na willian,
HAHAAA kaka chelsea ya mou ndio huwa inatusumbua sana lakini hii ya conte sina papara nayo kabisa shaw, blind, bailly na valencia wanatosha kabisaa kuwaficha hao akina coshta, hazard na willian,
kuna kale katoto kashule rashford kakiongozwa na babu yake zlatan wakisaidiana na kaka yake wakufikia tony martial sioni kabisa beki wakuwazuia labda angekuwepo zouma.
mkuu Nonda hawezi akawa upande wa special one HAHAHAAA jamaa anamchukia mourinho huyu dah
Hapo nimekueldwa mkuu ahsante kwa ufafanuzi.kafanya vile kutokana na hamu yake ya kucheza. Tayari tulikuwa tumeshashinda na alitaka kutoka ili asipate kadi ya njano (ambayo ingekuwa ya tano) ashindwe kucheza mechi jumapili ijayo dhidi ya Man UTD. Hakufanya kwa ubaya ila nimempenda kocha kwa kumpuuza maana ukianza kumsikiliza kila mchezaji uwanjani utashindwa kuongoza timu!
Hakufanya out of dharau but out of passion!!!! Pundits wameikuza negatively tu...kina Nonda na nduuze.
On paper you are good but on reality you are nothing special, hazard peke yake ndio nam admire the rest wanazuilika 100%maweeee...Blind huyu mmoja????? huyu???? lol...wacha nisiseme sana
Zlatan keshajifia zake anakula pensheni anawashangaa bado mnampanga...halafu siku hiyo ndo mtashangaa Cahill atakavyokuwa mcharo.
Kwanzaaaaaaaaa huko kwa kina Cahill mtafika kweli...kule V. Moses...huku Alonso...mkiingia kati kuna mamiguu Matic na dogo Kante (the Parisian)...sijuiiiii
labda kama watakakujipa moyo tu..ila sijuiii...kweli kabisa Shaw na blind wamzuie Hazard? Blind?????
Haya basi...Valencia amzuie Willian? are you serious au Mou keshawaambukiza?