Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

PIGA KELELEEEEEE.....

jose-mourinho-vs-antonio-conte_8u3c7kw43tg11s7ki2i8ttzsz.jpg
 
  • Thanks
Reactions: Lee
14574287_1798312800415037_9071960627055951872_n(1).jpg
Hahahah even ball boys celebrate...
 

Attachments

  • 14574287_1798312800415037_9071960627055951872_n.jpg
    14574287_1798312800415037_9071960627055951872_n.jpg
    58.1 KB · Views: 44
14533568_208817539548660_1425642985780936704_n.jpg


GOAL 1



14547629_1787562571490410_2048875493851136_n.jpg
14624749_306402556412802_3099669762855141376_n.jpg


WE STILL LOVE YOU MOU...THANKS FOR THE MEMORY!



14705118_268550076879628_4581347310046281728_n.jpg
14714663_190100198065019_3815047091999211520_n.jpg
14723109_1863460127206212_3407986859236655104_n.jpg
14727410_134762976992356_7041440998794199040_n.jpg






On to WEST HAM...London Derby!
 
3-4-3 bila ivanovic ni baabu kubwa, come on the blue [emoji16][emoji23][emoji112][emoji112][emoji112]
 
why ivanovic?
Ivanovic atafute timu January,nimeipenda commitment ya Cahil ma Luiz leo
mbona ni mchezaj mzur tu
3-4-3 bila ivanovic ni baabu kubwa, come on the blue [emoji16][emoji23][emoji112][emoji112][emoji112]
ameisaidia chelsea sna, kacheza misimu mitatu km siyo minne tena mfululizo.
kuna kuchoka na hvyo anahitaji apumzike, bdo ni mchezaj mzur mwenye nidhamu na anayecheza kiteam
 
Huu mfumo wa conte unatufaa sana, tukiendelea kucheza hivi tutaendelea kuwaua hawajamaa, timu imecheza kwa morali kama fainali aisee, nimependa sana.
Huo mfumo ni mzuri sn lkn unahitaji uwezo binafsi Wa wachezaji kwa mfano kwa sasa Ivanovic huo mfumo haumfai kabisa kwasababu unahitaji MTU Mwenye uwezo Wa kukimbia muda wote km Azpiricueter au Alonso. Na pia uimara Wa huo mfumo unategemea sn na viungo Wa kati pamoja na wale wanaoshambulia kuweza kukaa na mipira sn. Km uliangalia Jana ule upande Wa Moses na Pedro Man U walishindwa kabisa kuzuia huo upande kwasababu hawa wote wanakaa na mipira na wanadrive sn na kadri Moses alivyokua akipanda mbele basi Pedro ndio anazidi kuingia kati na kutengeneza watu watatu pale kati yani Costa Hazard na Pedro unakuta beki zinashindwa zimkabe nani zimuache nani na wote hawa wanasifa ya kukaa na mpira sn na kukimbia kwa kazi sn.

Huu mfumo utatufaa kwasababu tuna wachezaji wanaofiti ktk hilo ila changamoto itabaki kwa mibadala ya mabeki kule nyuma maana Terry na Iva hawa wamechoka sn..
 
Chelsea 1st goal against Manchester United, 23/10/2016


30 SECONDS it took for Pedro to score. It was the fastest goal in the Premier League this season.

12 PASSES in the move from kick-off to goal.

9 CHELSEA players touched the ball in the move. Only goalkeeper Thibaut Courtois and Victor Moses were not involved.

0 TIMES United touched the ball before the goal. Their first touch was to kick off after conceding!
 
Kitu kingine Hazard na Pedro Jana walikua hawana majukumu ya ukabaji sn kwasababu kazi hiyo ilifanywa vzr na watu 7 yani beki line 3 na wale viungo 4 na wote hawa kina hazard na Pedro wakawa Wa nasubiri counter attack ktk dimba LA kati huku Costa yeye akiwa juu kabisa anawasumbua mabeki. Hii iliwafanya wachezaji walilax na kufanya kitu sahihi ambacho kocha kawaagiza. Mfano ata jukumu LA kukaba na kupeleka mpira mbele kwa upande Wa Moses alilifanya vzr sn huku akiwa na utulivu Wa hali ya juu sn
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom